IQNA

Wizara ya Mambo ya Ndani Iraq kutumia uwezo wake wote  wakati wa Arbaeen

Wizara ya Mambo ya Ndani Iraq kutumia uwezo wake wote wakati wa Arbaeen

IQNA – Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iraq amesisitiza juhudi za kila upande zinazofanywa na wizara yake ili kuwatumikia wafanyaziyara wanaoshiriki katika mjumuiko na matembezi ya Arbaeen mwaka huu na kuhakikisha usalama wao kikamilifu.
10:40 , 2025 Aug 08
Kongamano la Dunia la Qur’ani Kuwakutanisha Wanazuoni wa Kimataifa Katika MTHQA ya 65 Nchini Malaysia

Kongamano la Dunia la Qur’ani Kuwakutanisha Wanazuoni wa Kimataifa Katika MTHQA ya 65 Nchini Malaysia

IQNA – Kongamano la Dunia la Qur’ani 2025 linatarajiwa kufanyika leo katika Kituo cha Biashara cha Dunia, Kuala Lumpur (WTCKL), likiendana na Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani (MTHQA).
20:16 , 2025 Aug 07
Qari Kutoka Cameroon asoma Surah An-Nasr kwa ajili ya Kampeni ya Fath ya Qur’ani

Qari Kutoka Cameroon asoma Surah An-Nasr kwa ajili ya Kampeni ya Fath ya Qur’ani

IQNA – Ahmad Al-Daleel, msomaji na mhifadhi mahiri wa Qur’ani Tukufu kutoka Jamhuri ya Cameroon, ameungana na kampeni ya Fath ya Qur’ani kwa kuwasilisha video ya kisomo chake cha kuvutia cha Surah An-Nasr.
20:07 , 2025 Aug 07
Masharti ya Trump ya ‘Israel Kwanza’ kwa Misaada ya Maafa ni Shambulio Dhidi ya Uhuru wa Maoni na Haki za Binadamu – CAIR

Masharti ya Trump ya ‘Israel Kwanza’ kwa Misaada ya Maafa ni Shambulio Dhidi ya Uhuru wa Maoni na Haki za Binadamu – CAIR

IQNA – Shirika moja la utetezi wa haki limeshutumu agizo jipya kutoka kwa serikali ya Trump linalozuia utoaji wa misaada ya majanga kwa majimbo na miji ya Marekani inayopinga bidhaa na makampuni ya Israel yanayoshiriki katika uhalifu wa kivita, likilitaja kuwa si la kizalendo, linakiuka katiba, na ni shambulio dhidi ya haki za binadamu na uhuru wa kujieleza.
00:03 , 2025 Aug 07
Mshiriki wa Palestina Katika Mashindano ya MTHQA Asema Alihifadhi Qur’ani asimulia kuhusu wazazi wake

Mshiriki wa Palestina Katika Mashindano ya MTHQA Asema Alihifadhi Qur’ani asimulia kuhusu wazazi wake

IQNA – Jenan Nabil Mohammed Nofal ni hafidha wa Qur’ani Tukufu anayewakilisha Palestina katika Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani yanayofanyika nchini Malaysia.
23:56 , 2025 Aug 06
Benki ya Kiislamu Kushirikiana na Al-Azhar Kuandaa Mashindano ya Qur'ani

Benki ya Kiislamu Kushirikiana na Al-Azhar Kuandaa Mashindano ya Qur'ani

IQNA – Mashindano ya tatu ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur’ani yanayoandaliwa na Msikiti Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri yatafanyika kwa ushirikiano na benki ya Kiislamu.
23:52 , 2025 Aug 06
Mtihani wa Kuwachagua Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Kufanyika Yemen

Mtihani wa Kuwachagua Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Kufanyika Yemen

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mwongozo ya Yemen imetangaza kuwa itafanya mtihani maalum kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wa nchi hiyo watakaoshiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani katika mataifa mbalimbali.
23:46 , 2025 Aug 06
Kundi la Kwanza la Wasomaji wa Msafara wa Qur'ani kutoka Iran Waanza Shughuli Zao Najaf

Kundi la Kwanza la Wasomaji wa Msafara wa Qur'ani kutoka Iran Waanza Shughuli Zao Najaf

IQNA – Kundi la kwanza la wahudumu wa Qur'ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, walioko katika Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen, wamewasili Iraq mapema wiki hii na wameanza kufanya shughuli mbalimbali za Qur'ani katika mji mtukufu wa Najaf.
23:38 , 2025 Aug 06
Israel yalaaniwa vikali kwa kuwafisha njaa na kuwachinja Wapalestina wanaotafuta chakula

Israel yalaaniwa vikali kwa kuwafisha njaa na kuwachinja Wapalestina wanaotafuta chakula

IQNA – Shirika la kutetea haki za Waislamu nchini Marekani limelaani vikali vifo vya raia wa Gaza vinavyosababishwa na njaa inayosababishwa kimakusudi na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ukanda wa Palestina.
00:26 , 2025 Aug 06
Malaysia yaongeza juhudi za kukuza maadili ya Qur’an katika masha ya kila siku

Malaysia yaongeza juhudi za kukuza maadili ya Qur’an katika masha ya kila siku

IQNA – Malaysia imezidisha juhudi za kuitangaza Qur'an Tukufu kama mwongozo wa maisha yenye maadili, kwa lengo la kulea kizazi chenye msingi imara wa tabia njema na uchamungu.
00:04 , 2025 Aug 06
Mikakati ya kusoma Qur'an kwa Njia ya Kidijitali Yazinduliwa Kimataifa Makkah

Mikakati ya kusoma Qur'an kwa Njia ya Kidijitali Yazinduliwa Kimataifa Makkah

IQNA – Mfululizo wa miradi ya kipekee ya Qur'an Tukufu imezinduliwa huko Makkah kwa lengo la kuihudumia Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi Mungu.
23:57 , 2025 Aug 05
Qari wa Iran Asoma Qur'ani katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia

Qari wa Iran Asoma Qur'ani katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia

IQNA – Mohsen Qassemi, aliyeteuliwa kuiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Malaysia, alitoa qiraa’ yake Jumapili usiku katika ukumbi wa mashindano hayo mjini Kuala Lumpur.
23:40 , 2025 Aug 05
Maafisa wasema Iraq iko tayari kwa matembezi ya Arbaeen

Maafisa wasema Iraq iko tayari kwa matembezi ya Arbaeen

IQNA – Mamlaka za Iraq zimezindua maandalizi makubwa ya huduma na usalama, huku mamilioni ya wafanyaziara wakitarajiwa kuelekea Karbala kwa ajili ya matembezi ya Arbaeen.
19:26 , 2025 Aug 04
Ofisi ya Ayatullah Sistani yapiga marfuku matumizi ya picha yake katika maeneo ya Umma

Ofisi ya Ayatullah Sistani yapiga marfuku matumizi ya picha yake katika maeneo ya Umma

IQNA – Ofisi ya kiongozi mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullah Ali al-Sistani, imetoa tamko la kuzuia taasisi za kisiasa na za huduma kutumia picha yake katika maeneo ya wazi, hasa wakati wa hija ya Arbaeen inayokaribia.
19:09 , 2025 Aug 04
Mufti Mkuu wa India apongeza uamuzi wa mataifa kutambua Palestina

Mufti Mkuu wa India apongeza uamuzi wa mataifa kutambua Palestina

IQNA – Mufti Mkuu wa India, Sheikh Abubakr Ahmad, amepongeza uamuzi wa baadhi ya mataifa kutambua rasmi nchi huru ya Palestina.
18:50 , 2025 Aug 04
1