IQNA

Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ Kuongeza Makundi Mapya

Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ Kuongeza Makundi Mapya

IQNA – Baada ya kufanikisha toleo la kwanza la mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ nchini Iran, waandaaji wamepanga kuongeza makundi mapya katika tukio hili mashuhuri.
19:20 , 2025 Oct 10
Qur'ani Yatoa Misingi ya Haki, Mshikamano na Ustahimilivu wa Kijamii: Mtaalamu

Qur'ani Yatoa Misingi ya Haki, Mshikamano na Ustahimilivu wa Kijamii: Mtaalamu

IQNA – Mtaalamu wa chuo kikuu mjini Mashhad nchini Iran amesema kuwa Qur'ani inatoa mwongozo wa kivitendo na wa kimaadili kusaidia jamii kukabiliana na misukosuko kama vile vita, uhamaji, na umasikini.
19:07 , 2025 Oct 10
Msikiti wa Blackburn Wapewa Kibali cha Kujenga Jengo Jipya

Msikiti wa Blackburn Wapewa Kibali cha Kujenga Jengo Jipya

Msikiti wa Jamia Syeda Fatima Al-Zahra ulioko Bank Lane, Blackburn, ambao kwa sasa unaendesha shughuli zake ndani ya jengo la baa ya zamani, umepata kibali cha kubomoa jengo hilo na kujenga kituo kipya cha Kiislamu cha ghorofa mbili.
18:57 , 2025 Oct 10
Ayatullah Khamenei: ‘Sala Huleta Utulivu Moyoni, Nguvu kwa Nia’

Ayatullah Khamenei: ‘Sala Huleta Utulivu Moyoni, Nguvu kwa Nia’

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kiroho na kimaadili wa sala, akiitaja kuwa miongoni mwa ibada zenye maana kubwa na zinazotoa uhai katika Uislamu.
13:13 , 2025 Oct 09
Kozi ya Tatu ya Mafunzo kwa Maqari wa Kimataifa Yaendelea Iraq

Kozi ya Tatu ya Mafunzo kwa Maqari wa Kimataifa Yaendelea Iraq

IQNA – Baraza la Sayansi ya Qur’ani Tukufu linalohusiana na usimamizi wa haram ya Hazrat Abbas (AS) limezindua kozi ya tatu ya mafunzo kwa wasomaji wa kimataifa wa Qur’ani Tukufu.
23:06 , 2025 Oct 08
Wito wa kuchunguza uhalifu wa chuki baada ya hujuma dhidi ya  Msikiti Minneapolis, Marekani

Wito wa kuchunguza uhalifu wa chuki baada ya hujuma dhidi ya Msikiti Minneapolis, Marekani

IQNA – Viongozi wa jamii ya Kiislamu mjini Minneapolis wanatoa wito wa uchunguzi wa kina kuhusu iwapo tukio la uvunjaji wa hivi karibuni katika Kituo cha Kiislamu cha Alhikmah linahusiana na tukio la moto lililotokea siku chache kabla katika msikiti huo huo.
23:03 , 2025 Oct 08
Hatua ya Mwisho ya Maonesho ya Kimataifa ya ‘Ulimwengu wa Qur’ani’ Yafikia Tamati Kazan

Hatua ya Mwisho ya Maonesho ya Kimataifa ya ‘Ulimwengu wa Qur’ani’ Yafikia Tamati Kazan

IQNA – Maonesho ya kimataifa ya Qur’ani yenye mwingiliano wa kisasa, yaliyopewa jina la “Ulimwengu wa Qur’ani”, yamehitimishwa rasmi mjini Kazan nchini Russia au Urusi mnamo Oktoba 6, baada ya kuyazunguka miji ya Moscow, Saratov, na Saransk.
22:51 , 2025 Oct 08
Algeria yaripoti zaidi ya Wanafunzi 900,000 wamejiandikisha shule za Qur’ani

Algeria yaripoti zaidi ya Wanafunzi 900,000 wamejiandikisha shule za Qur’ani

IQNA – Serikali ya Algeria imetangaza kuwa zaidi ya wanafunzi 900,000 wamejiandikisha katika shule za Qur’ani na Zawiya, ikieleza mafanikio makubwa katika mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur’ani na juhudi zilizopanuliwa za kielimu.
22:40 , 2025 Oct 08
Ugunduzi wa Hazina Zilizofichika’: Qari wa Iraq Asifu Mashindano ya Qur’an ya Iran

Ugunduzi wa Hazina Zilizofichika’: Qari wa Iraq Asifu Mashindano ya Qur’an ya Iran

IQNA – Qari maarufu wa Iraq na mtangazaji wa televisheni Sayyid Hassanayn al-Hulw ameisifu mashindano mapya ya Qur’an ya Iran yaliyopewa jina la “Zayin al-Aswat”, akiyataja kuwa jukwaa la mabadiliko linalofichua vipaji vya kipekee vya vijana na kuimarisha misingi ya elimu ya Qur’an.
22:28 , 2025 Oct 08
Jumba la Makumbusho ya Istanbul limeandaa Safari ya Kipekee ya Kielektroniki Katika Msikiti wa Al-Aqsa

Jumba la Makumbusho ya Istanbul limeandaa Safari ya Kipekee ya Kielektroniki Katika Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Jumba la Makumbusho moja jijini Istanbul limezindua uzoefu wa hali halisi ya mtandao (Virtual Reality – VR) unaowawezesha wageni kutembelea Msikiti wa Al-Aqsa na mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel, kana kwamba wanatembea humo kwa miguu.
21:07 , 2025 Oct 07
Mchochezi wa uchomaji wa nakala za Qur'ani Rasmus Paludan aepuka hukumu kamili nchini Sweden

Mchochezi wa uchomaji wa nakala za Qur'ani Rasmus Paludan aepuka hukumu kamili nchini Sweden

IQNA – Mahakama ya rufaa nchini Sweden (Uswidi) imesitisha hukumu dhidi ya Rasmus Paludan, mwanasiasa wa mrengo wa kulia mwenye uraia wa Denmark na Sweden, ambaye amewahi kutukana na kuchoma nakala za Qur'an Tukufu mara kadhaa.
20:51 , 2025 Oct 07
Qari Mwandamizi: Mashindano ya Qur'an Kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana hmasa

Qari Mwandamizi: Mashindano ya Qur'an Kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana hmasa

IQNA – Mashindano ya Qur'an kama ‘Zayin al-Aswat’ huwapa vijana msukumo wa kiroho na hutoa kipimo sahihi cha maendeleo yao katika usomaji wa Qur'an, amesema Qari maarufu kutoka Iran, Ahmad Abolqassemi.
20:24 , 2025 Oct 07
Utawala wa Kizayuni wapiga mqrufuku Sheikh Ikrima Sabri kuingia Msikiti wa Al-Aqsa kwa kipindi cha miezi sita

Utawala wa Kizayuni wapiga mqrufuku Sheikh Ikrima Sabri kuingia Msikiti wa Al-Aqsa kwa kipindi cha miezi sita

IQNA – Mamlaka ya utawala wa Kizayuni imezuia Sheikh Ikrima Sabri, khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa na Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la al-Quds (Jerusalem) kuingia na kuswali katika eneo hilo takatifu kwa muda wa miezi sita — hatua iliyolaaniwa vikali kama sehemu ya kampeni ya kuwalenga viongozi wa kidini wa Kipalestina.
20:13 , 2025 Oct 07
Dr. Ahmed Omar Hashem, Rais wa zamani wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar na mwanazuoni mkuu, amefariki dunia

Dr. Ahmed Omar Hashem, Rais wa zamani wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar na mwanazuoni mkuu, amefariki dunia

IQNA – Dr. Ahmed Omar Hashem, aliyewahi kuwa Rais wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar na mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wakuu wa taasisi hiyo, ameaga dunia alfajiri ya leo baada ya kuugua kwa muda mrefu.
20:03 , 2025 Oct 07
Utawala wa Israel waendelea kutengwa kimataifa kutokana na jinai zake Gaza

Utawala wa Israel waendelea kutengwa kimataifa kutokana na jinai zake Gaza

IQNA-Vita vya Ghaza na jinai nyingine zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel zimekabiliwa na msururu wa mashinikizo ya kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni ambayo yameufanya utawala huo ghasibu kuwa taifa linalochukiwa na kukataliwa duniani.
13:19 , 2025 Oct 05
1