IQNA

Morocco yaandaa Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mohammed VI

Morocco yaandaa Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mohammed VI

QNA – Toleo la 19 la Tuzo ya Kimataifa ya Mohammed VI ya Kuhifadhi, Kusoma, Tajweed, na Tafsiri ya Qur'ani lilifunguliwa Jumanne, Agosti 26, mjini Rabat, Morocco.
17:26 , 2025 Aug 28
Msomi: Mtume Muhammad (SAW) alihimiza kuhusu kutunza mazingira

Msomi: Mtume Muhammad (SAW) alihimiza kuhusu kutunza mazingira

IQNA – Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Imam Sadiq (AS) nchini Iran ameelezea Sira na mafundisho ya Mtume Muhammad (S.A.W.) kuhusu ulinzi wa mazingira, ikiwemo yale yanayohusu kutotumia maji ovyo.
17:20 , 2025 Aug 28
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu yanalenga kujenga uhusiano wa Kimataifa zaidi ya ushindani

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu yanalenga kujenga uhusiano wa Kimataifa zaidi ya ushindani

IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu yanajitahidi kuimarisha uhusiano kati ya washiriki duniani kote badala ya kuwa mashindano ya muda mfupi pekee, amebaini mtaalamu.
17:06 , 2025 Aug 28
Al-Azhar yalaani kitendo cha mwanasiasa Marekani kuteketeza nakala ya Qur'ani

Al-Azhar yalaani kitendo cha mwanasiasa Marekani kuteketeza nakala ya Qur'ani

IQNA – Kituo cha Al-Azhar cha Kupambana na Misimamo Mikali kimekemea vikali kitendo cha hivi karibuni cha kuchoma nakala ya Qur'ani kilichofanywa na mwanasiasa mmoja wa Marekani.
16:57 , 2025 Aug 28
Mawkib za Kiarani zilihudumiwa watu Milioni 22 katika Arbaeen mwaka huu

Mawkib za Kiarani zilihudumiwa watu Milioni 22 katika Arbaeen mwaka huu

IQNA – Mawkib za Kiirani zilitoa huduma kwa zaidi ya watu milioni 22 wakati wa Arbaeen mwaka huu, kulingana na afisa mmoja.
18:15 , 2025 Aug 27
Baraza la Kiislamu la Kosovo limeandaa Mashindano ya Sayansi ya Dini Pristina

Baraza la Kiislamu la Kosovo limeandaa Mashindano ya Sayansi ya Dini Pristina

IQNA – Shule ya Upili ya Kiislamu ya Alaeddin huko Pristina, mji mkuu wa Kosovo, imekaribisha mashindano makubwa ya mwaka ya sayansi ya dini hivi karibuni.
18:07 , 2025 Aug 27
Mkutano wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini Utaanza Ijumaa

Mkutano wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini Utaanza Ijumaa

IQNA – Mkutano wa 62 wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini (ISNA) utaanza huko Rosemont, jimbo la Illinois, Marekani, Ijumaa hii.
18:01 , 2025 Aug 27
Mwanazuoni: Wiki ya Umoja wa Kiislamu iwe Harakati Dhidi ya Wapinzani wa Uislamu

Mwanazuoni: Wiki ya Umoja wa Kiislamu iwe Harakati Dhidi ya Wapinzani wa Uislamu

IQNA – Msomi wa ngazi za juu wa Kiislamu Iran ametoa wito wa kufanya Wiki ya Umoja wa Kiislamu mwaka huu kuwa harakati kamili dhidi ya wapinzani wa Uislamu.
17:57 , 2025 Aug 27
Hasira zaenea baada ya mfuasi wa Trump anayeunga mkono Israel kutekelteza nakala ya Qur'ani

Hasira zaenea baada ya mfuasi wa Trump anayeunga mkono Israel kutekelteza nakala ya Qur'ani

IQNA – Kitendo cha kuivunjia heshima na kuteketeza moto nakala ya Qur’an ambacho kimetekelezwa mgombea wa kiti katika Bunge la Kongresila Marekani kwa tiketi ya chama cha kihafidhina cha Republican huko Texas, ambaye ni mfuasi wa Rais wa Marekani Donald Trump, kimeibua hasira kubwa.
17:45 , 2025 Aug 27
Mashindano ya kuchagua wawakilishi wa Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu

Mashindano ya kuchagua wawakilishi wa Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu

IQNA – Hatua ya kuchagua wawakilishi wa Iran katika Mashindano ya Saba ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu imefanyika katika Shirika la Qur’ani la Wanazuoni wa Iran, Jumanne.
15:55 , 2025 Aug 26
Duru ya Kitaifa ya Mashindano ya Qur’ani ya Algeria

Duru ya Kitaifa ya Mashindano ya Qur’ani ya Algeria

IQNA – Mashindano ya kitaifa ya kuwania nafasi ya kushiriki katika Juma la 27 la Qur’ani Tukufu nchini Algeria yameanza leo Jumanne, kulingana na Wizara ya Mambo ya Kidini na Wakfu.
15:47 , 2025 Aug 26
Sheikh Qassem: Hizbullah haitaweka chini silaha, haitaruhusu Israel kushambulia Lebanon itakavvyo

Sheikh Qassem: Hizbullah haitaweka chini silaha, haitaruhusu Israel kushambulia Lebanon itakavvyo

IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sheikh Naim Qassem, amesisitiza tena msimamo wa harakati hiyo kukataa wito wa kusalimisha silaha zake.
15:42 , 2025 Aug 26
Mkutano kuhusu ujenzi wa Misikiti na Husseiniya nchini Kuwait

Mkutano kuhusu ujenzi wa Misikiti na Husseiniya nchini Kuwait

IQNA – Mkutano wa kwanza wa timu iliyo na jukumu la kupanga ujenzi wa Husseiniya (kumbikidini katika madhehebu ya Shia) na Misikiti nchini Kuwait ulifanyika Jumatatu.
14:59 , 2025 Aug 26
Tukawaangamiza Kwa Madhambi Yao

Tukawaangamiza Kwa Madhambi Yao

Katika dunia ya leo yenye misukosuko na harakati nyingi, wakati mwingine tunahitaji kusimama kwa muda mfupi na kupata utulivu. Mkusanyiko wa 'Sauti ya Wahy' ukiwa na chaguo la aya za Qur’ani ni mwaliko wa safari ya kiroho na yenye utulivu."
13:59 , 2025 Aug 26
Kikao cha OIC chafanyika Jeddah kuhimiza hatua za kumaliza mauaji ya kimbari Gaza

Kikao cha OIC chafanyika Jeddah kuhimiza hatua za kumaliza mauaji ya kimbari Gaza

IQNA – Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano la Kiislamu (OIC) ulianza Jumatatu mjini Jeddah, Saudi Arabia, ambapo washiriki wamesisitiza umuhimu wa hatua ya pamoja kusaidia Gaza na Palestina.
09:26 , 2025 Aug 26
1