IQNA – Qur’an Tukufu haioneshi Hija tu kama faradhi ya mtu binafsi, bali pia kama mkusanyiko mkubwa wa pamoja wenye faida kwa mtu mmoja mmoja na kwa jamii kwa ujumla.
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaka usitishe hujuma na jinai zake dhidi ya Ukanda wa Gaza vinginevyo utaendelea kuandamwa na mashambulio.
QNA – Kufuatia tangazo la kuanza kwa mwezi wa Hijria wa Dhul Hijjah, serikali ya Saudi Arabia imepitia upya mipango ya msimu wa Hija wa mwaka huu katika kikao kilichofanyika Jumanne.
IQNA – Hafla maalum ya Qur'ani imefanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania, ikiweka pamoja Waislamu ambao wamewasikiliza Maqari mashuhuri kutoka Iran waliotambulika kupitia kipindi maarufu cha televisheni cha Mahfel.
IQNA – Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) ni janga la kimataifa linaloathiri jamii nzima, si Waislamu pekee, alionya Abdulsamad Al-Yazidi, Mwenyekiti wa Kituo cha Kiislamu cha Ujerumani.
IQNA – Katika mwinuko wa kaskazini wa Mlima Uhud ulioko Madinah, kuna maeneo mawili ya kihistoria, yakikumbusha matukio muhimu kutoka Vita vya Uhud vilivyobadilisha mwelekeo wa Uislamu.
IQNA- Katika dunia ya leo yenye pilika pilika nyingi na mwendo wa haraka, wakati mwingine tunahitaji kusimama kwa muda mfupi na kupata utulivu. Mfululizo wa "Sauti ya Wahyi" kwa kuchagua baadhi ya aya kwenye Qur'ani Tukufu.
IQNA – Zaidi ya Waislamu milioni moja kutoka nje ya Saudi Arabia wamewasili katika ufalme huo kwa ajili ya kushiriki katika ibada ya Hija ya kila mwaka, mamlaka husika zimetangaza siku ya Jumatatu.
IQNA – Mbunge kutoka Iran ameelezea Hija kama fursa muhimu ya kukuza umoja miongoni mwa Waislamu duniani na kuimarisha juhudi za pamoja dhidi ya changamoto za pamoja.
IQNA – Chuo cha Kimataifa cha Awqaf nchini Misri kimezindua kozi yake ya kwanza ya mafunzo kwa walimu wa Qur’an, ikilenga mbinu bora za kuhifadhi na kufundisha ndani ya madrasah za jadi.
IQNA-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia ulazima wa kuweko hatua za pamoja na zenye ufanisi baina ya Iran na Pakistan za kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza na ameashiria nafasi maalumu ya Pakistan katika ulimwengu wa Kiislamu.
IQNA – Zaidi ya walowezi 1,000 wa Kizayuni wa utawala haramu wa Israel wakiwa na mawaziri wa mrengo mkali wa kulia na wakisaidiwa na jeshi la utawala huo katili, wameuvamia Msikiti wa Al-Aqsa katika mji unaokaliwa wa al-Quds siku ya Jumatatu.
IQNA-Kongamano kubwa la Qur'ani Tukufu limefanyika jana Jumapili , Dar es Salaam Tanzania huku viongozi wa dini mbalimbali chini ya kauli mbiu 'Sauti ya Rehema'.