IQNA

Usomaji wa Kundi: Maqari vijana wasoma aya za Surah Adh-Dhariyat

Usomaji wa Kundi: Maqari vijana wasoma aya za Surah Adh-Dhariyat

IQNA – Wanachama wa timu ya kitaifa ya vijana wa Iran wanaosoma Quran kwa pamoja katika usomaji wa aya 47 hadi 49 kutoka Surah Adh-Dhariyat, wakati wa kikao cha pili cha kambi yao ya mafunzo, kilichofanyika mapema mwezi huu katika mji wa Qom.
21:17 , 2025 May 20
UN: Israel yaendeleza hujuma  Gaza, yawalazimu watu 97,000 kuhama katika siku nne

UN: Israel yaendeleza hujuma  Gaza, yawalazimu watu 97,000 kuhama katika siku nne

IQNA-Shirika la Kimataifa la Uhamaji (IOM) limeripoti kwamba zaidi ya Wapalestina 97,000 wamehamishwa Gaza katika kipindi cha siku nne pekee, huku mashambulizi ya Israeli yakizidi kuwa makali katika eneo hilo lenye mateso.
21:12 , 2025 May 20
Zoezi la kunereka maji ya waridi katika eneo la Niyasar, Iran

Zoezi la kunereka maji ya waridi katika eneo la Niyasar, Iran

IQNA – Wakati maua ya waridi aina ya damask yanapochanua kwenye miteremko ya milima ya Niyasar, katikati mwa Iran, desturi ya muda mrefu ya kunereka maji ya waridi hufanyika tena kwa adhama na usafi wake wa kipekee.
17:48 , 2025 May 19
Picha: Waumini watembelea Al Masjid An Nabawi kabla ya kuanza Hija

Picha: Waumini watembelea Al Masjid An Nabawi kabla ya kuanza Hija

IQNA – Picha hizi zilizopigwa Mei 17, 2025, zinaonyesha Waislamu wakitembelea Al Masjid An Nabawi (Msikiti wa Mtume) mjini Madina wakati wanajiandaa kwa ibada ya Hija ya mwaka huu. Ibada ya kila mwaka ya ya Hija itaanza Saudia katika kipindi cha siku chache zijazo.
17:41 , 2025 May 19
Msomi wa Kiislamu akanusha madai kuwa Mashia wamejitenga na Qur'ani

Msomi wa Kiislamu akanusha madai kuwa Mashia wamejitenga na Qur'ani

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran amepinga madai kwamba Waislamu wa madhehebu ya Shia hawana uhusiano wa karibu na Qur'ani Tukufu huku akiyataja madai kama hayo kuwa ni uzushi wa muda mrefu unaoenezwa na maadui wa Uislamu.
17:38 , 2025 May 19
Mpango Katika Al Masjid an Nabawi walenga kukuza usomaji wa Qur'ani

Mpango Katika Al Masjid an Nabawi walenga kukuza usomaji wa Qur'ani

IQNA – Uongozi wa Al Masjid an Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina umetangaza utekelezaji wa mpango wa kielimu wa kufundisha Qara’at Ashar (mitindo kumi ya usomaji wa Qur'ani) ndani ya msikiti huo.
17:23 , 2025 May 19
Msikiti wa Liverpool unakabiliwa na uhaba wa nafasi, huduma za mazishi

Msikiti wa Liverpool unakabiliwa na uhaba wa nafasi, huduma za mazishi

IQNA-Msikiti mashuhuri jijini Liverpool nchini Uingereza unakumbwa na changamoto ya uhaba wa nafasi na miundombinu huku ukijitahidi kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya huduma za mazishi ya Kiislamu kutoka kwa jamii za ndani na za mikoa jirani.
17:17 , 2025 May 19
Maandamano makubwa zaidi ya Uholanzi katika miongo miwili, ni ya watetezi wa Palestina

Maandamano makubwa zaidi ya Uholanzi katika miongo miwili, ni ya watetezi wa Palestina

IQNA – Mji wa The Hague, Uholanzi umeshuhudia maandamano makubwa ya kuunga mkono Palestina na Gaza siku ya Jumapili.
17:06 , 2025 May 19
Mkuu wa vyuo vya Kiislamu Iran atoa wito wa ushirikiano katika barua kwa Papa

Mkuu wa vyuo vya Kiislamu Iran atoa wito wa ushirikiano katika barua kwa Papa

IQNA-Mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu wa Iran ametuma salamu za pongezi kwa mkuu mpya wa Kanisa Katoliki, akihimiza mazungumzo yenye tija na ushirikiano baina ya dini, huku akitoa akimuenzi Papa Francis aliyeaga dunia hivi karibuni.
16:58 , 2025 May 19
Rais wa Iran: Tukiwa na Umoja wa Kiislamu ‘hakuna adui atakayetushinda’

Rais wa Iran: Tukiwa na Umoja wa Kiislamu ‘hakuna adui atakayetushinda’

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa mshikamano wa kweli kati ya mataifa ya Kiislamu utayafanya kuwa na nguvu zaidi mbele ya maadui.
16:26 , 2025 May 18
Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Nigeria yashirikisha majimbo 36

Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Nigeria yashirikisha majimbo 36

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani yalifanyika mjini Damaturu, mji mkuu wa jimbo la Yobe nchini Nigeria, siku ya Jumamosi.
15:40 , 2025 May 18
Algeria yawaunganisha wanakaligrafia kutoka nchi za Kiislamu

Algeria yawaunganisha wanakaligrafia kutoka nchi za Kiislamu

IQNA – Tamasha la 13 la Kimataifa la Kaligrafia ya Kiarabu nchini Algeria limefanyika katika mji wa al-Madiya, likiwa limejumuisha wanakaligrafia kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu.
15:34 , 2025 May 18
Qari Muirani mwenye ulemavu wa macho anaweza kusoma Qur'ani huko Madina (+Video)

Qari Muirani mwenye ulemavu wa macho anaweza kusoma Qur'ani huko Madina (+Video)

IQNA – Omid Reza Rahimi ni qari mwenye ulemavu wa macho ambaye amehifadhi Qur'ani ambaye ni mwanachama wa Msafara wa Qur'ani wa Nur (Noor) kutoka Iran, ambao ni ujumbe wa wasomaji Qur'ani katika ibada ya Hija.
15:27 , 2025 May 18
Msomi: Qur’ani imeitaja Hija kuwa 'Bendera ya Uislamu'

Msomi: Qur’ani imeitaja Hija kuwa 'Bendera ya Uislamu'

IQNA – Ibada ya Hija, inayofanywa kila mwaka, inatajwa katika Qur’an kama bendera ya Uislamu, kulingana na maelezo ya mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran.
20:42 , 2025 May 17
Wanandoa wazee wa Kiindonesia, wenye umria wa miaka 100, 95 wanaelekea Hija

Wanandoa wazee wa Kiindonesia, wenye umria wa miaka 100, 95 wanaelekea Hija

IQNA – Mwanamume mwenye umri wa miaka 100 na mke wake wa miaka 95 kutoka Aceh ya Kati nchini Indonesia wanajiandaa kujiunga na mamilioni ya Waislamu katika ibada ya Hija ya mwaka huu, wakionyesha imani thabiti na uthabiti wa mwili katika uzee wao.
20:33 , 2025 May 17
11