IQNA

Arbaeen ni fursa ya kuonesha ustaarabu mpya wa Kiislamu

IQNA – Afisa mmoja wa masuala ya utamaduni kutoka Iran amesema kwamba matembezi makubwa ya kila mwaka ya Arbaeen ni fursa ya kipekee ya kuonesha ustaarabu...

Rambi rambi za Ayatullah Sistani kufuatia moto wa jumba la biashara Iraq ambapo wengi walipoteza maisha

IQNA – Ayatullah Mkuu Sayyid Ali al-Sistani, kiongozi wa juu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, ametuma salamu za rambi rambi kwa familia za...

Afrika Kusini kuweka huduma za Hija chini ya mamlaka moja

IQNA – Huduma za Hija kwa Waislamu wa Afrika Kusini sasa zitawekwa chini ya usimamizi wa Baraza la Hija na Umra la Afrika Kusini (SAHUC).

Dokumentari yatayarishwa kutambulisha Misikiti muhimu ya Misri

IQNA – Wizara ya Wakfu (Awqaf) ya Misri imetangaza kutayarishwa kwa mfululizo wa dokumentari zitakazoangazia misikiti muhimu ya nchi hiyo.
Habari Maalumu
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Misri: Wizara ya Wakfu yatangaza tarehe ya mchujo

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Misri: Wizara ya Wakfu yatangaza tarehe ya mchujo

IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri imetangaza majina ya washiriki wa KiMisri waliokidhi masharti ya kushiriki katika mtihani maalum wa uteuzi, ili kuwachagua...
18 Jul 2025, 18:16
Shiriki Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya ijulikanayo kama “Fath”

Shiriki Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya ijulikanayo kama “Fath”

IQNA – Kampeni mpya ya kimataifa ya Qurani kwa jina “Fath” imezinduliwa kwa lengo la kuinua morali ya majeshi ya Kiislamu na kueneza maadili ya Qurani...
17 Jul 2025, 10:49
Dunia yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria

Dunia yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria

IQNA – Jamii ya kimataifa imeendelea kulaani mashambulizi ya anga na droni yaliyofanywa na Israel katika maeneo kadhaa nchini Syria.
17 Jul 2025, 22:07
Kitabu kipya chafafanua historia ya zana za kuandika Qur’ani

Kitabu kipya chafafanua historia ya zana za kuandika Qur’ani

IQNA – Taasisi ya Mfalme Abdulaziz nchini Saudi Arabia imechapisha kitabu kipya kwa lugha ya Kiarabu kinachofuatilia historia ya maendeleo ya zana zilizotumika...
16 Jul 2025, 17:39
Qari wa Palestina auawa shahidi katika shambulizi la anga la Israel Gaza

Qari wa Palestina auawa shahidi katika shambulizi la anga la Israel Gaza

IQNA – Msomaji wa Qur’ani wa Palestina na mwimbaji wa kaswida za Kiislamu amekufa shahidi katika shambulizi la hivi karibuni la anga lililofanywa na Israel...
16 Jul 2025, 17:33
Kiongozi: Israel iliomba msaada wa Marekani baada ya kupata pigo katika ulipizaji kisasi wa Iran

Kiongozi: Israel iliomba msaada wa Marekani baada ya kupata pigo katika ulipizaji kisasi wa Iran

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Israel ililazimika "kusalimu amri na kuing'ang'ani Marekani" kwa...
16 Jul 2025, 17:50
Misri yachukua hatua kudhibiti utoaji wa Fatwa kupitia sheria mpya

Misri yachukua hatua kudhibiti utoaji wa Fatwa kupitia sheria mpya

IQNA – Misri imeingia katika awamu mpya ya kudhibiti machafuko yanayohusiana na utoaji wa Fatwa (hukumu ya kidini), kwa kuandaa sheria mpya ya kuusimamia...
16 Jul 2025, 17:29
Warsha ya mtadanoni kujadili jinsi Iran ilivyojibu uchokozi wa Israel

Warsha ya mtadanoni kujadili jinsi Iran ilivyojibu uchokozi wa Israel

IQNA – Shirika la Kimataifa la Habari za Qur’ani limeandaa warsha ya kimtandaoni (webinar) ya kimataifa iitwayo "Hadhi na Nguvu ya Iran; Ujumbe Zaidi ya...
16 Jul 2025, 17:19
Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Qur’ani Malaysia kufanyika Agosti 2, kuhudhuriwa na nchi 50

Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Qur’ani Malaysia kufanyika Agosti 2, kuhudhuriwa na nchi 50

IQNA – Toleo la 65 la Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Malaysia (MTHQA) litazinduliwa tarehe 2 Agosti katika Kituo cha Biashara...
15 Jul 2025, 20:36
Karbala yaandaa maonesho kaligrafia ya Kiarabu kuhusu Mapinduzi ya Imam Hussein (AS)

Karbala yaandaa maonesho kaligrafia ya Kiarabu kuhusu Mapinduzi ya Imam Hussein (AS)

IQNA – Maonesho ya kaligrafia ya maandishi ya Kiarabu ya siku tatu yaliyopewa jina "Katika Njia ya Ashura" yamefunguliwa katika eneo tukufu la Bayn al-Haramayn—kati...
15 Jul 2025, 20:32
Vituo 14 kuwahudumia Watoto katika mafunzo ya asubuhi ya Qur'ani majira ya kiangazi nchini Qatar

Vituo 14 kuwahudumia Watoto katika mafunzo ya asubuhi ya Qur'ani majira ya kiangazi nchini Qatar

IQNA – Mafunzo ya Qur'ani ya asubuhi wakati wa kiangazi yanatarajiwa kufanyika katika vituo 14 vya Qur'ani kote nchini Qatar kuanzia Jumapili.
15 Jul 2025, 20:27
Misri yazindua Mashindano ya Kwanza ya Kitaifa Mtandaoni ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani

Misri yazindua Mashindano ya Kwanza ya Kitaifa Mtandaoni ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani

IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza kuzindua mashindano ya kwanza ya kitaifa ya mtandaoni ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu nchini humo.
15 Jul 2025, 20:22
Jua laambatana na Al-Kaaba, likiwapa Waislamu duniani fursa ya kupata mwelekeo Sahihi wa Qibla

Jua laambatana na Al-Kaaba, likiwapa Waislamu duniani fursa ya kupata mwelekeo Sahihi wa Qibla

IQNA – Jumanne, tarehe 15 Julai 2025, jua limeonekana moja kwa moja juu ya Al-Kaaba huko Makka, hali itakayowawezesha Waislamu kote duniani kuthibitisha...
15 Jul 2025, 19:22
Iran kuandaa matukio ya kitaifa na kimataifa kuadhimisha miaka 1500 ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW)

Iran kuandaa matukio ya kitaifa na kimataifa kuadhimisha miaka 1500 ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Mamlaka ya Iran imetangaza kuwa mfululizo wa matukio ya kitaifa na ya kimataifa yatafanyika kwa ajili ya kuadhimisha miaka 1500 tangu kuzaliwa kwa...
14 Jul 2025, 17:48
Matembezi ya Arbaeen yaanza rasmi kusini mwa Iraq, kutoka Ras al-Bisheh hadi Karbala

Matembezi ya Arbaeen yaanza rasmi kusini mwa Iraq, kutoka Ras al-Bisheh hadi Karbala

IQNA – Hijra ya Arbaeen ya mwaka 1447 Hijria imeanza rasmi, huku maelfu ya mahujaji wakiianza safari yao kwa miguu kutoka eneo la Ras al-Bisheh, lililoko...
14 Jul 2025, 17:18
Algeria yaanzisha msafara wa kitaifa wa kisomo cha Qur’an Tukufu

Algeria yaanzisha msafara wa kitaifa wa kisomo cha Qur’an Tukufu

IQNA – Mpango wa kitaifa wa usomaji wa Qur’ani Tukufu umeanzishwa rasmi nchini Algeria, ukilenga kusambaza shughuli za Qur’ani katika misikiti mbalimbali...
14 Jul 2025, 17:37
Picha‎ - Filamu‎