IQNA

Ustadh Abolqasemi asoma Aya za Surah Al-Imran katika Khitma ya Mashujaa wa Iran

IQNA – Qari maarufu wa Iran, Ustadh Ahmad Abolqsemi, alisoma kwa umahiri aya za Qur'ani Tukufu za 138 hadi 150 za Surah Al-Imran katika hafla maalum iliyofanyika...

Kaaba Tukufu yasafishwa katika tukio la kila mwaka

IQNA – Msikiti Mtukufu wa Makka uliangaziwa na tukio la kipekee Alhamisi, ambapo shughuli ya kila mwaka ya kuosha Kaaba (Ghusl ya Kaaba) ilitekelezwa kwa...
Mtazamo

Mkataba wa Amani wa Hudaybiyyah: Dira ya Mkakati wa Mtume Muhammad (SAW) katika kukuza Uislamu

IQNA – Mkataba wa Amani wa Hudaybiyyah uliosainiwa mwaka wa 6 AH (628 Miladia), uligeuka kuwa hatua ya kihistoria iliyoimarisha Uislamu kwa kubadilisha...

Iran kuanza operesheni ya kusafirisha wafanyaziara milioni 4 wa Arbaeen kuanzia Julai 25

IQNA – Operesheni ya kusafirisha wafanyaziara kwa ajili ya ibada ya Arbaeen mwaka huu itaanza rasmi tarehe 25 Julai, kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Uchukuzi...
Habari Maalumu
Wahudumu wa afya Waislamu Australia wakumbwa na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu

Wahudumu wa afya Waislamu Australia wakumbwa na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Utafiti mpya umeonesha ongezeko la chuki na chuki dhidi Uislamu (Islamofobia) dhidi ya wahudumu wa afya Waislamu nchini Australia, hali inayowaathiri...
11 Jul 2025, 10:24
Jeshi la Yemen latekeleza operesheni kali dhidi ya meli iliyokuwa inaelekea 'Israel'

Jeshi la Yemen latekeleza operesheni kali dhidi ya meli iliyokuwa inaelekea 'Israel'

IQNA-Jeshi la Yemen limeshambulia meli nyingine iliyokuwa inaelekea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina 'Israel', ili kuwaunga...
10 Jul 2025, 10:15
Surat al-Fajr yadhihirisha Falsafa ya Ashura, asema profesa wa masomo ya Kiislamu

Surat al-Fajr yadhihirisha Falsafa ya Ashura, asema profesa wa masomo ya Kiislamu

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran ameelezea kuwa Surat al-Fajr katika Qur'an Tukufu ni sura iliyo na uhusiano wa karibu sana na urithi wa Imam Hussein...
09 Jul 2025, 17:43
Huduma zapanuliwa katika Msikiti Mtukufu wa Makkah

Huduma zapanuliwa katika Msikiti Mtukufu wa Makkah

IQNA – Mamlaka za Saudi Arabia zimeripoti utoaji wa huduma mbalimbali kwa mahujaji na wageni waliotembelea Msikiti Mtukufu wa Makkah katika mwaka wa 1446...
09 Jul 2025, 17:53
Mikataba ya Abrahamu ya Trump Imeandikiwa Kushindwa: Mchambuzi
Mtazamo

Mikataba ya Abrahamu ya Trump Imeandikiwa Kushindwa: Mchambuzi

IQNA – Mkataba wa Abrahamu wa Trump (ujulikanao pia kama "UAbrahamu wa Trump"), ambao unalenga kudhoofisha dini na haki za kitaifa za Wapalestina, hauwezi...
09 Jul 2025, 20:15
Warsha kuhusu nakala za Qur’an yafanyika katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria

Warsha kuhusu nakala za Qur’an yafanyika katika Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria

IQNA – Warsha yenye kichwa “Sanaa ya Uandikaji Nakala za Qur’an” ilifanyika siku ya Jumanne, Julai 9, pembeni mwa Maonyesho ya 20 ya Kimataifa ya Vitabu...
09 Jul 2025, 17:58
Mikusanyiko 114 ya Khitma ya Qur'ani imeandaliwa Iran kwa ajili ya kuwaenzi “Mashahidi wa Nguvu”

Mikusanyiko 114 ya Khitma ya Qur'ani imeandaliwa Iran kwa ajili ya kuwaenzi “Mashahidi wa Nguvu”

IQNA – Jumuiya ya Qur'ani ya Iran imepanga kuandaa mikusanyiko 114 ya usomaji wa Qur'ani katika maeneo mbalimbali ya nchi, kwa ajili ya kuwaenzi mashahidi...
08 Jul 2025, 21:01
Mufti Mkuu wa Misri akemea kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na walowezi wa Kizayuni

Mufti Mkuu wa Misri akemea kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na walowezi wa Kizayuni

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri, Dkt. Nazeer Mohammed Ayyad, ametoa taarifa ya kulaani kali dhidi ya tukio la kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na makundi ya...
08 Jul 2025, 20:47
Imam Sajjad (AS) alidumisha roho ya Karbala kupitia Dua na Mahubiri

Imam Sajjad (AS) alidumisha roho ya Karbala kupitia Dua na Mahubiri

IQNA-Profesa mmoja kutoka Iran amesema kuwa Imam Ali bin Hussein Sajjad (Aleyhi Salaam), Imamu wa nne katika mlolongo wa Maimamu wa Ahlul Bayt (AS), alikuwa...
08 Jul 2025, 17:49
Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalilenga kufufua roho na kiini cha Uislamu: Mwanazuoni wa Al-Azhar

Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalilenga kufufua roho na kiini cha Uislamu: Mwanazuoni wa Al-Azhar

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Misri amesema kuwa lengo la mapinduzi ya Imam Hussein (Aleyhi Salaam) lilikuwa kufufua roho na kiini halisi cha dini, wakati...
08 Jul 2025, 17:40
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq yasifu mafanikio ya mpango wa usalama wa Ashura Karbala

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq yasifu mafanikio ya mpango wa usalama wa Ashura Karbala

IQNA – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetoa taarifa mchana wa Jumapili ikitangaza mafanikio ya utekelezaji wa mpango wa usalama kwa ajili ya maombolezo...
07 Jul 2025, 15:31
Uwanja wa Ben Gurion wafungwa tena kufuatia shambulio la kombora la Yemen

Uwanja wa Ben Gurion wafungwa tena kufuatia shambulio la kombora la Yemen

IQNA- Mamlaka ya anga ya Israel imesitisha safari zote za ndege za kuwasili na kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion na kusema kuwa...
07 Jul 2025, 15:18
Idadi kubwa ya waombolezaji washiriki katika tukio la Tuwairaj mjini Karbala katika Siku ya Ashura

Idadi kubwa ya waombolezaji washiriki katika tukio la Tuwairaj mjini Karbala katika Siku ya Ashura

IQNA – Tukio la jadi wa maombolezo ya Ashura unaojulikana kama Rakdha Tuwairaj limefanyika mjini mtakatifu wa Karbala, Iraq, siku ya Jumapili.
07 Jul 2025, 15:15
Athari za kihisia na kijamii za tukio miaka 20 baada ya 7/7 kwa Waislamu wa Uingereza

Athari za kihisia na kijamii za tukio miaka 20 baada ya 7/7 kwa Waislamu wa Uingereza

IQNA-Miaka ishirini baada ya mashambulizi ya 7/7 mjini London, Waislamu wa Uingereza bado wanahisi athari za kihisia na kijamii.
07 Jul 2025, 14:51
Msimamo wa Imam Hussein (AS) ni kielelezo cha kupinga dhulma ya zama hizi

Msimamo wa Imam Hussein (AS) ni kielelezo cha kupinga dhulma ya zama hizi

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran amesema kuwa mwamko wa Imam Hussein (AS) dhidi ya Yazid bin Muawiya unabaki kuwa mfano wa milele wa kupambana na dhulma...
06 Jul 2025, 19:29
Mjumbe wa UN: Karbala ina nafasi maalum mioyoni mwa wote

Mjumbe wa UN: Karbala ina nafasi maalum mioyoni mwa wote

IQNA – Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq una nafasi ya kipekee katika mioyo ya watu...
06 Jul 2025, 19:06
Picha‎ - Filamu‎