Habari Maalumu
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
AMSTERDAM (IQNA) – Nakala ya Qur’ani Tukufu iliyovunjwa heshima na kuchanwa nchini Uholanzi mwezi uliopita imekarabatiwa.
23 Sep 2023, 13:35
Utalii wa Kiislamu
DUBAI (IQNA) - Dubai inatazamiwa kuzindia msikiti wa kwanza duniani unaoelea kwa gharama inayokadiriwa ya takriban Dh55 milioni.
22 Sep 2023, 22:03
Waislamu India
SRINAGAR (IQNA) - Baada ya miaka minne ya kifungo cha nyumbani, kiongozi wa Kiislamu wa Kashmir anayeunga mkono uhuru wa uneoe hilo, Mirwaiz Umar Farooq,...
22 Sep 2023, 22:30
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
NEW YORK (IQNA) – Waziri Mkuu wa Malaysia Datuk Seri Anwar Ibrahim alishutumu vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani kuwa ni vitendo vya "chuki dhidi ya...
22 Sep 2023, 21:50
Waislamu Australia
CANBERRA (IQNA) - Mashindano ya Qur'ani yaliyoandaliwa mjini Sydney, Australia, yalihitimishwa katika sherehe ambapo washindi wa kwanza walitunukiwa.
22 Sep 2023, 22:43
Diplomasia
NEW YORK (IQNA) - Vitendo kama vile kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu vinatumiwa na magaidi kwa maslahi yao, mkuu wa sera za kigeni wa EU alisema.
22 Sep 2023, 22:15
Mapambano ya Wapalestina
TEHRAN (IQNA)- Brigedi Mpya imeundwa na harakati ya kupigania ukombozi wa Palestina ya Jihad Islami kukabiliana na Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel...
21 Sep 2023, 15:45
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
NEW YORK (IQNA) - Viongozi wa Uturuki na Malaysia wamelaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu hivi karibuni katika nchi za Magharibi na kusema vitendo hivyo...
21 Sep 2023, 17:55
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi vamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina wanne katika mashambulizi mawili tofauti katika eneo la Ukingo...
21 Sep 2023, 18:01
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa Iran amelihutubia Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kueleza kwamba,...
20 Sep 2023, 20:30
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
NEW YORK (IQNA) - Viongozi kadhaa wa nchi Kiislamu duniani wamehutubu kwenye Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo wamelaani vikali kitendo...
20 Sep 2023, 22:30
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /29
TEHRAN (IQNA) – Qur'ani Tukufu imetafsiriwa kwa lugha ya Kijapani mara kadhaa, mojawapo ikiwa tarjuma ya Okawa Shumei, ambaye si Muislamu.
20 Sep 2023, 22:05
Kadhia ya Palestina
AL-QUDS (IQNA) - Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa al-Quds (Jerusalem) ni mahali pa ibada kwa Waislamu peke yao na ni haki takatifu isiyopingika kwao, mkuu...
20 Sep 2023, 22:38
Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /48
TEHRAN (IQNA) – Katika historia, kumekuwa na makundi mbalimbali ya watu wanaopinga mitume wa kiungu na mafundisho yao.
20 Sep 2023, 22:16
TEHRAN (IQNA)- Kundi la utetezi wa Waislamu nchini Marekani limeishtaki Idara ya Upelelezi, FBI, katika jaribio la kukomesha utumizi wa orodha ya siri...
19 Sep 2023, 16:13
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Raia wa Iran wameungana katika kutia saini ombi "kubwa zaidi" la kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu baada ya kurudiwa kwa vitendo...
18 Sep 2023, 20:57