IQNA

Imamu Shahidi azikwa Mashhad

IQNA – Baada ya siku kadhaa za misafara ya mazishi na hafla za kuaga nchini Iran na Iraq, Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali...

Mkakati wa Kistaarabu wa Umoja wa Imamu Shahidi kwa Ummah wa Kiislamu: Mtazamo wa Msomi wa Bahrain

IQNA – Msomi mwandamizi wa Bahrain amesema kuwa umoja katika mtazamo wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, si nembo...

Mazishi ya Kiongozi Shahidi Najaf na Karbala: Sura ya Dhahabu katika Mahusiano ya Iran na Iraq

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa shukrani za dhati kwa wananchi na viongozi wa Iraq kwa ukarimu wao katika kuandaa msafara wa mazishi ya Kiongozi...

Mazishi ya Kiongozi Shahidi yameibadili taswira ya Iran duniani

IQNA – Mazishi makubwa na yenye adhama ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, yaliyovuta mamilioni ya waombolezaji, hayakuwa tu hafla ya kitaifa,...
Habari Maalumu
Mamilioni watoa heshima kwa Shahidi Khamenei nchini Iraq

Mamilioni watoa heshima kwa Shahidi Khamenei nchini Iraq

IQNA-Katika ujumbe uliotolewa mapema leo Alkhamisi, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Brigedia Jenerali Esmail...
09 Jul 2026, 13:48
Mwili wa Kiongozi Shahidi waswaliwa katika Haram ya Imam Ali (AS) Najaf

Mwili wa Kiongozi Shahidi waswaliwa katika Haram ya Imam Ali (AS) Najaf

IQNA – Swala za Maiti kwa ajili ya miili ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, pamoja na wanafamilia yake imeswaliwa...
08 Jul 2026, 09:44
“Kuishi na Qur’ani” ndilo Takwa Kuu la Kiongozi Shahidi kwa Umma wa Kiislamu

“Kuishi na Qur’ani” ndilo Takwa Kuu la Kiongozi Shahidi kwa Umma wa Kiislamu

IQNA – Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Kiislamu ametaja “kuishi na Qur’ani Tukufu” kama takwa kuu la Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah...
08 Jul 2026, 20:44
Al-Khazali: Kiongozi Shahidi Alikuwa Mshika Bendera wa Haki Katika Zama Zetu

Al-Khazali: Kiongozi Shahidi Alikuwa Mshika Bendera wa Haki Katika Zama Zetu

IQNA – Katibu mkuu wa Harakati ya Asaib Ahl al-Haq nchini Iraq, Sheikh Qais Al-Khazali, amesema kuwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah...
08 Jul 2026, 20:50
Jeshi la Iran lajibu uchukozi wa Marekani kwa mashambulizi 85

Jeshi la Iran lajibu uchukozi wa Marekani kwa mashambulizi 85

IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza rasmi kuwa, katika hatua ya kwanza ya kujibu uchokozi wa Marekani wa usiku wa...
08 Jul 2026, 10:03
Mamilioni washiriki msafara wa kuaga mwili wa Imam Shahidi Khamenei jijini Qom

Mamilioni washiriki msafara wa kuaga mwili wa Imam Shahidi Khamenei jijini Qom

IQNA-mamilioni ya waombolezaji leo wameikusanyika katika mji mtakatifu wa Qom nchini Iran tangu asubuhi kushiriki katika mazishi ya Kiongozi Shahidi.
07 Jul 2026, 16:05
Karbala yakaribisha ‘Msafiri wa Kwanza wa Arbaeen’ wa Mwaka Huu

Karbala yakaribisha ‘Msafiri wa Kwanza wa Arbaeen’ wa Mwaka Huu

IQNA – Mwili mtakatifu wa Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayed Ali Khamenei, utapelekwa katika maeneo matakatifu nchini Iraq kwa ajili ya...
07 Jul 2026, 16:47
Afisa Mwandamizi wa Iran Asisitiza Wajibu wa Kuadhibu Wauaji wa Kiongozi Shahidi Ayatollah Khamenei

Afisa Mwandamizi wa Iran Asisitiza Wajibu wa Kuadhibu Wauaji wa Kiongozi Shahidi Ayatollah Khamenei

IQNA – Kuadhibiwa kwa wauaji wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ni wajibu wa kimsingi wa mamlaka ya Jamhuri ya...
07 Jul 2026, 16:55
Mwana wa Ayatullah Sistani Atuma Ujumbe kwa Ofisi ya Kiongozi wa Mapinduzi

Mwana wa Ayatullah Sistani Atuma Ujumbe kwa Ofisi ya Kiongozi wa Mapinduzi

IQNA – Ayatullah Sayyid Mohammad Reza Sistani, mwana mkubwa wa Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Sistani, ametangaza kuwa kiongozi huyo mkuu wa kidini hataweza...
07 Jul 2026, 16:41
Mamilioni jijini Tehran washiriki msafara wa mazishi ya Kiongozi Muadhamu aliyeuawa Shahidi

Mamilioni jijini Tehran washiriki msafara wa mazishi ya Kiongozi Muadhamu aliyeuawa Shahidi

IQNA-Umati wa waombolezaji umefurika barabarani katika mji mkuu wa Iran huku msafara wa mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi,...
06 Jul 2026, 11:29
Najaf yakamalisha maandalizi ya Msafara wa Mazishi ya Shahidi Ayatullah Khamenei

Najaf yakamalisha maandalizi ya Msafara wa Mazishi ya Shahidi Ayatullah Khamenei

IQNA- Mamlaka katika Jimbo la Najaf nchini Iraq zimekamilisha maandalizi ya usalama, vifaa, na huduma kwa ajili ya msafara wa mazishi ya Kiongozi Shahidi...
06 Jul 2026, 14:15
Maombolezo ya Kiongozi Shahidi Ayatuah Khamenei yafanyika nchini Marekani

Maombolezo ya Kiongozi Shahidi Ayatuah Khamenei yafanyika nchini Marekani

IQNA-Wakati shughuli za mazishi na kuaga mwili wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, zikiendelea nchini Iran, Waislamu...
06 Jul 2026, 14:31
Mufti Mkuu wa Tunisia Asifu Urithi wa Mashahidi wa Ayatullah Khamenei katika Kuleta Umoja wa Kiislamu

Mufti Mkuu wa Tunisia Asifu Urithi wa Mashahidi wa Ayatullah Khamenei katika Kuleta Umoja wa Kiislamu

IQNA – Mufti Mkuu wa Tunisia, Sheikh Hisham Ben Mahmoud, ametoa heshima zake kwa kiongozi shujaa wa Mapinduzi ya Kiislamu, Shahidi Ayatullah Sayyid Ali...
06 Jul 2026, 12:04
Kiongozi wa Jihad Islami aangazia mapenzi ya Kiongozi Shahidi kwa Palestina

Kiongozi wa Jihad Islami aangazia mapenzi ya Kiongozi Shahidi kwa Palestina

IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina, amesema kuwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed...
05 Jul 2026, 20:51
Afisa wa Hizbullah: Kuuawa shahidi Imam Khamenei kumeimarisha  nguvu ya Muqawama

Afisa wa Hizbullah: Kuuawa shahidi Imam Khamenei kumeimarisha nguvu ya Muqawama

IQNA – Naibu Mkuu wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa kuuawa Shahidi Ayatullah Seyyed Ali Khamenei kumeongeza mara...
05 Jul 2026, 20:47
Waziri wa Malaysia: Shahidi Khamenei ni Kinara wa Uamsho wa Kiislamu kwa Ummah

Waziri wa Malaysia: Shahidi Khamenei ni Kinara wa Uamsho wa Kiislamu kwa Ummah

IQNA – Kiongozi mwandamizi wa Malaysia ameonyesha imani kuwa itikadi alizozisimamia na kuzipigania Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah...
05 Jul 2026, 20:39
Picha‎ - Filamu‎