Habari Maalumu
IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri imetangaza majina ya washiriki wa KiMisri waliokidhi masharti ya kushiriki katika mtihani maalum wa uteuzi, ili kuwachagua...
18 Jul 2025, 18:16
IQNA – Kampeni mpya ya kimataifa ya Qurani kwa jina “Fath” imezinduliwa kwa lengo la kuinua morali ya majeshi ya Kiislamu na kueneza maadili ya Qurani...
17 Jul 2025, 10:49
IQNA – Jamii ya kimataifa imeendelea kulaani mashambulizi ya anga na droni yaliyofanywa na Israel katika maeneo kadhaa nchini Syria.
17 Jul 2025, 22:07
IQNA – Taasisi ya Mfalme Abdulaziz nchini Saudi Arabia imechapisha kitabu kipya kwa lugha ya Kiarabu kinachofuatilia historia ya maendeleo ya zana zilizotumika...
16 Jul 2025, 17:39
IQNA – Msomaji wa Qur’ani wa Palestina na mwimbaji wa kaswida za Kiislamu amekufa shahidi katika shambulizi la hivi karibuni la anga lililofanywa na Israel...
16 Jul 2025, 17:33
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Israel ililazimika "kusalimu amri na kuing'ang'ani Marekani" kwa...
16 Jul 2025, 17:50
IQNA – Misri imeingia katika awamu mpya ya kudhibiti machafuko yanayohusiana na utoaji wa Fatwa (hukumu ya kidini), kwa kuandaa sheria mpya ya kuusimamia...
16 Jul 2025, 17:29
IQNA – Shirika la Kimataifa la Habari za Qur’ani limeandaa warsha ya kimtandaoni (webinar) ya kimataifa iitwayo "Hadhi na Nguvu ya Iran; Ujumbe Zaidi ya...
16 Jul 2025, 17:19
IQNA – Toleo la 65 la Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Malaysia (MTHQA) litazinduliwa tarehe 2 Agosti katika Kituo cha Biashara...
15 Jul 2025, 20:36
IQNA – Maonesho ya kaligrafia ya maandishi ya Kiarabu ya siku tatu yaliyopewa jina "Katika Njia ya Ashura" yamefunguliwa katika eneo tukufu la Bayn al-Haramayn—kati...
15 Jul 2025, 20:32
IQNA – Mafunzo ya Qur'ani ya asubuhi wakati wa kiangazi yanatarajiwa kufanyika katika vituo 14 vya Qur'ani kote nchini Qatar kuanzia Jumapili.
15 Jul 2025, 20:27
IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza kuzindua mashindano ya kwanza ya kitaifa ya mtandaoni ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu nchini humo.
15 Jul 2025, 20:22
IQNA – Jumanne, tarehe 15 Julai 2025, jua limeonekana moja kwa moja juu ya Al-Kaaba huko Makka, hali itakayowawezesha Waislamu kote duniani kuthibitisha...
15 Jul 2025, 19:22
IQNA – Mamlaka ya Iran imetangaza kuwa mfululizo wa matukio ya kitaifa na ya kimataifa yatafanyika kwa ajili ya kuadhimisha miaka 1500 tangu kuzaliwa kwa...
14 Jul 2025, 17:48
IQNA – Hijra ya Arbaeen ya mwaka 1447 Hijria imeanza rasmi, huku maelfu ya mahujaji wakiianza safari yao kwa miguu kutoka eneo la Ras al-Bisheh, lililoko...
14 Jul 2025, 17:18
IQNA – Mpango wa kitaifa wa usomaji wa Qur’ani Tukufu umeanzishwa rasmi nchini Algeria, ukilenga kusambaza shughuli za Qur’ani katika misikiti mbalimbali...
14 Jul 2025, 17:37