iqna

IQNA

bjp
Waislamu India
IQNA - Pakistan imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuingilia kati na kulinda misikiti na maeneo ya turathi ya Kiislamu nchini India, kufuatia kuharibiwa kwa msikiti wa kihistoria wa Akhunji mjini New Delhi wiki iliyopita.
Habari ID: 3478329    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/10

Waislamu India
IQNA - Takriban watu watano wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa wakati wa maandamano yaliyotokana na ubomoaji wa msikiti na shule wa Kiislamu nchini India, ikiwa ni tukio la hivi punde zaidi katika msururu wa ubomoaji unaolenga majengo ya Waislamu.
Habari ID: 3478323    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/09

Waislamu India
IQNA - Msikiti wa Gyanvapi huko Varanasi, ni eneo la kihistoria iliyojengwa katika karne ya 17, umekuwa kitovu cha hivi punde katika mzozo wa muda mrefu wa kisheria kati ya Wahindu na Waislamu nchini India.
Habari ID: 3478291    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/02

Waislamu India
IQNA-Kama ilivyokuwa ikitarajiwa, baada ya kuzinduliwa hekalu la Ram, ambalo lilijengwa na Wahindu wenye itikadi kali katika sehemu ambayo zamani palikuwa na msikiti wa Babri katika jimbo la Uttar Pradesh, duru mpya ya mashinikizo ya kijamii dhidi ya Waislamu wa India imeanza.
Habari ID: 3478256    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/26

Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Wahindu wenye msimamo mkali walimpiga na kumuuai Mwislamu mlemavu kwa kula prasad kwenye hekalu.
Habari ID: 3477669    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/29

Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Zaidi ya mikusanyiko 250 dhidi ya Waislamu ilifanyika katika majimbo 17 ya India katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2023, kulingana na ripoti ambayo inaangazia mwelekeo unaoongezeka wa chuki dhidi ya Uislamu nchini India tangu 2014.
Habari ID: 3477656    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26

Waislamu India
NEW DELHI (IQNA) - Chuki dhidi ya Uislamu nchini India imeenea zaidi kuliko hapo awali, alisema waziri mkuu wa zamani na makamu wa rais wa Mkutano wa Kitaifa, Omar Abdullah.
Habari ID: 3477646    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/24

Hali ya Waislamu India
New Delhi (IQNA) - Misikiti mingi katika kitovu muhimu cha biashara nje kidogo ya mji mkuu wa India, New Delhi ilifungwa kwa sala ya Ijumaa baada ya kifo cha watu sita wakati Wahindu wenye itikadi kali waliposhambulia misikiti na mali za Waislamu.
Habari ID: 3477390    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/06

Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA) – Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa mamlaka nchini India zinazidi kuwakandamiza na kuwaadhibi Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3475891    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/07

Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- India imeipiga marufuku harakati mashuhuri ya Kiislamu nchini humo ya PFI, ikiwa ni muendelezo wa serikali ya New Delhi ya kufuata sera ya kukanyaga na kupuuza haki za Waislamu walio wachache katika nchi hiyo.
Habari ID: 3475852    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29

Msomi wa Kuwait
TEHRAN (IQNA) – Msomi wa chuo kikuu nchini Kuwait alisema vikwazo vya kiuchumi ni mojawapo ya nguvu kuu za Waislamu katika kukabiliana na serikali zinazounga mkono chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3475455    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/03

Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Taasisi ya haki za binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani vitendo vya kibaguzi dhidi ya Waislamu nchini India.
Habari ID: 3475404    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/21

Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu na chuki dhidi ya Waislamu duniani.
Habari ID: 3475381    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/16

Chuki dhidi ya Uislamu India
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya watu waliandamana katika mji mkuu wa Bangladesh wa Dhaka siku ya Ijumaa kulaani matamshi ya hivi majuzi ya matusi ya maafisa wa chama tawala India kuhusu Mtukufu Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3475363    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/11

Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Kinara wa vijana wa chama tawala cha utaifa wa Kihindu cha Bharatiya Janata (BJP) nchini India amekamatwa kutokana na matamshi ya chuki dhidi ya Waislamu Waislamu kwenye mitandao ya kijamii, polisi walisema Jumatano.
Habari ID: 3475350    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/08

Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimelaani matamshi ya hivi kairbuni ya kumvunjia heshima Mtume SAW katika mdahalo wa televisheni nchini India.
Habari ID: 3475343    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/06

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Nchi za Kiislamu duniani zimeendelea kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa Televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3475342    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/06

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa India mjini Tehran kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3475340    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/06

Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya mashuhuri ya Kiislamu nchini India imeishutumu serikali ya BJP kwa kuwalinda watu wanaohusika katika kueneza chukji dhidi ya Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3475307    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/28

Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Magenge ya Wahindu wenye msimamo mkali vinalenga kubomoa misikiti kote nchini India na sasa wanalenga jengo la kihistoria la Waislamu maarufu kama Taj Mahal.
Habari ID: 3475276    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/21