Usomaji Qur'ani
IQNA - Redio ya Qur'ani ya Misri imempiga qarii mmoja mkuu kutokana na kufanya makosa katika kusoma Qur'ani Tukufu hivi karibuni.
Habari ID: 3478162 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/07
Sheikh Mohammad Hashim Al Hakim, mwanachama wa Jumuiya ya Maulamaa wa Sudan ametahadharisha kuhusu kusambazwa nakala za Qur'ani nchini humo ambazo zina makosa ya chapa.
Habari ID: 3470450 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/12