Wasomaji Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) – Ustadh Yassir Mahmoud Abdul Khaliq al-Sharqawi ni kijana msomaji mashuhuri wa Qur'ani Tukufu nchini Misri na ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3477398 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/08
Qiraa ya Qur'ani Tukufu
BAKU (IQNA) – Klipu ya usomaji mzuri wa Qur'ani Tukufu wa kijana wa Jamhuri ya Azerbaijan Qari Muhammad Dabirov imependwa na mamilioni ya watazamaji kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3477394 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/07
Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /25
TEHRAN (IQNA) – Abdulaziz Ali Faraj alikuwa qari wa Kimisri ambaye aliishi zama za Ustadh Abdul Basit Abdul Samad.
Habari ID: 3476514 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/05
Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Katika mnasaba wa Krismasi, ambayo ni siku ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa Nabii Isa Masih bin Maryam-Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake-,, qari wa Iraq alisoma aya za Sura Al Imran ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476322 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/28
TEHRAN (IQNA) – Qari Hazza Al Balushi ni kijana kutoka Oman mwenye kipaji cha kusoma Qu’ani Tukufu kwa sauti nzuri.
Habari ID: 3474289 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12