iqna

IQNA

utamaduni
Dubai (IQNA) Maonyesho ya kila miaka miwili ya sanaa ya Kaligrafia ya Kiislamu huko Dubai yalianza kazi yake kwa uwepo wa wasanii 200 kutoka nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3477691    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/05

Ustaarabu wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Maonyesho yamefunguliwa Abu Dhabi nchini UAE, yakionyesha nyaraka zinazobainisha mchango wa Uislamu katika elimu na, ustaarabu na utamaduni duniani na hasa bara Ulaya.
Habari ID: 3476299    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/24

TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Akademia ya Elimu, Utamaduni na Utafiti Iran (ACECR) amesema academia hiyo inapaswa kuongoza duniani katika ustawi wa sayansi na teknolojia.
Habari ID: 3473037    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/05

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Misri, Cairo na mji wa kale wa Bukhara nchini Uzbekistan imetangazwa kuwa miji mikuu ya utamaduni katika ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2020.
Habari ID: 3472288    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/20

Ujumbe wa Nairuzi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu kwa wananchi wa Iran kwa mnasaba wa kuingia mwaka mpya wa 1393 Hijria Shamsia na kuuita mwaka huo kwa jina la mwaka wa "Uchumi na Utamaduni wenye Azma ya Kitaifa na Uongozi wa Kijihadi."
Habari ID: 1389135    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/21