iqna

IQNA

umoja wa kiislamu
Msomi wa Algeria
TEHRAN (IQNA) – Msomi na mwanafikra wa Qur’ani wa Algeria anasema umoja baina ya nchi za Kiislamu ni jambo la lazima na unapaswa kufikiwa katika nyanja tofauti.
Habari ID: 3475409    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/22

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) amesema ustaarabu mpya wa Kiislamu unaweza kupatikana tu kupitia umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3475302    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) amesemakuanzisha umoja wa nchi za Kiislamu ni jambo linalowezekana
Habari ID: 3475301    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, umoja na mshikamano wa Waislamu ndiyo silaha pekee inayoweza kutumiwa kwa ajili ya kupambana na njama zinazofanywa dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474733    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/28

TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika Abu Dhabi, mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mwezi Disemba.
Habari ID: 3474504    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/02

TEHRAN (IQNA) – Mwakilishi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa (SAW) katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema maadamu hakuna umoja halisi katikaumma wa Kiislamu basi maadui watazidi kueneza chuki dhidi ya Uislamu duniani.
Habari ID: 3474478    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/27

TEHRAN (IQNA)- Msomi wa Kiislamu kutoka Ubelgiji anasema kuna haja ya kuanzisha soko la pamoja la nchi za Kiislamu ili kuleta mabadiliko katika dunia.
Habari ID: 3474472    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/25

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Waislamu hawapaswi kuungana na kusimama pamoja wakati wa matukio fulani maalumu pekee, bali wanapaswa kushirikiana nyakati zote na kustawi pamoja, kwani hilo ni jambo la dharura.
Habari ID: 3474468    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 35 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu limemalizika Jumamosi mjini Tehran baada ya kufanyika kwa muda wa siku tano. Mkutano huo umefanyika kwa mnasaba wa kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad SAW au Maulid.
Habari ID: 3474465    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi ametuma salamu maalumu na mkono wa baraka na fanaka kwa viongozi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa maadhimisho ya kukumbuka kuzaliwa Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad Muhammad SAW na Wiki ya Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3474464    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 35 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu limemalizika Jumamosi mjini Tehran baada ya kufanyika kwa muda wa siku tano.
Habari ID: 3474463    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuhusu mchango usio na kifani wa Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu-MA-) wa kuleta umoja kati ya Waislamu wa madhehebu za Shia na Sunni.
Habari ID: 3474462    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/23

TEHRAN (IQNA)- Vyombo vya habari vya ulimwengu wa Kiislamu vinapaswa kuimarisha jitiahda zaidi kustawisha umoja wa Kiislamu, amesema msomi wa Iraq.
Habari ID: 3474461    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/23

TEHRAN (IQNA)- Warsha ya kimataifa yenye anuani ya , "Mahitajio ya Umoja wa Kiislamu Katika Dunia ya Leo' limefanyika Alhamisi mjini Tehran.
Habari ID: 3474453    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/21

TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni mwandamizi wa Iraq amesisitiza kuhusu ulazima wa wanazuoni na maulamaa wa Kiislamu dunaini kuwa macho ili kuzuia njama za maadui za kuchochea mifarakano baina ya Waislamu.
Habari ID: 3474452    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/21

TEHRAN (IQNA)- Msomi mmpja wa Pakistan ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuandaa kila mwaka kongamano la kimataifa la umoja wa Kiislamu na kusema hatua hiyo ni huduma kubwa wa Waislamu duniani.
Habari ID: 3474450    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/21

TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Waislamu wa Croatia amesema, Mkutano wa Umoja wa Kiislamu ni jukwaa la kuelezea hali ya sasa ya nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3474448    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20

TEHRAN (IQNA)- Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), amesema muqawama au mapambano ndio njia bora zaidi ya kukomboa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474447    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah ametoa wito kwa Waislamu duniani kuungana ili waweze kukabiliana na njama za maadui.
Habari ID: 3474446    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 35 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu lilianza Jumanne hapa mjini Tehran na litaendelea kwa muda wa siku tano ambapo wasomi, maulamaa na wanazuoni kutoka nchi Zaidi ya 16 wanahutubu kuhusu masuala mbali mbali ya Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3474445    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20