Qari sheikh Amin Abdi, msomaji anayeshiriki kutoka Iran katika mashindano ya usomaji wa Qur’ani Tukufu ya Toleo la 12 la Tuzo ya Kimataifa nchini Kuwait, alifanya kisomo chake katika mashindano hayo.
Habari ID: 3477887 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/14
Katika kuunga mkono operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa katika maeneo yaliyokaliwa kwa mabavu Gaza, unaweza kuona usomaji wa aya ya 5 ya Surat Al- Isra' kwa sauti nzuri ya Sheikh Rahim Sharifi, msomaji wa Qur’ani Tukufu mashuhuri wa nchini Iran.
Habari ID: 3477853 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/07
Qari Hossein Pourkoir, msomaji maarufui wa Iran, Alisoma aya za 101 hadi 107 za Sura ya Toba kwenye Haramu Tukufu ya Imamu Ridha (AS) Razavi, sauti yake imewafurahisha watu wengi, imetolewa na Iqana.
Habari ID: 3477777 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/24
Baada ya operesheni ya kimbunga cha Al-Aqsa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ukanda wa Gaza, unaweza kuona usomaji wa aya ya 5 ya Sura Israa kwa sauti nzuri ya Majid Ananpour, msomaji wa kimataifa na mshairi wa nchi Tafsiri ya aya Isra.
Habari ID: 3477770 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/22
Video ya usomaji wa Qurani Tukufu wa Ali Qadourah, mwimbaji maarufu wa zamani wa Misri, usomaji wake wa Qur’ani Tukufu umepokelewa kwa shangwe na watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini humo.
Habari ID: 3477764 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/21
Usomoji mzuri wa Ustadh Hamidreza Ahmadi Wafa, msomaji wa kimataifa wa Qur'an Tukufu, kutoka aya ya 22 hadi 31 ya Sura Insan ulifanywa katika madhabahu tukufu ya Razavi, ambayo yaliwasilishwa kwa hadhira ya Iqna.
Habari ID: 3477746 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/17
Sauti ya usomaji wa aya ya 15 hadi 18 za Sura Al Hujurat na vile vile aya za mwanzo za Sura ya Qaf kwa sauti nzuri ya Hamid Shakranjad, msomaji wa kimataifa wa Qur'ani Tukufu, iliyosomwa kwenye kaburi la Razavi, Imetolewa na Iqna
Habari ID: 3477732 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/14
Mehdi Gholamnejad alisoma Tafsiri za Aya za 20 hadi 26 za Sura Al Maidah katika kisomo cha 14 kwa mfululizo wa Kusoma na Kusikiza.
Habari ID: 3477591 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/13
TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii kumesambaa klipu ya qiraa ya Qur'ani Tukufu ya vijana sita kutoka nchi mbali mbali za Kiislamu.
Habari ID: 3476203 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/06
Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 12
TEHRAN (IQNA) – Marehemu qari mashuhuri wa Misri Shahat Muhammad Anwar alikuwa na sauti maalum na nzuri pamoja na tabia ya heshima.
Habari ID: 3476169 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/29
Usomaji Qur'ani (Qiraa)
TEHRAN (IQNA) - Kanda za video zimesambazwa hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii zikionyesha usomaji wa aya za Qur'ani Tukufu wa marehemu Sheikh Mustafa Ismail aliyekuwa qarii bingwa wa Qur'ani Tukufu wa Misri
Habari ID: 3476046 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06