iqna

IQNA

imam ridha as
TEHRAN (IQNA) Kwa munasaba wa Wiladat ya Imam Ridha AS, Msafara wa wahudumu wa Haram Takatifu ya Imam Ridha AS iliyoko mjini Mashhad nchini Iran wamefika Zanzibar nchini Tanzania na kukutana na Ulamaa wa Ahul Sunna.
Habari ID: 3471104    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/05

TEHRAN (IQNA)-Katika siku za kukaribia Wiladat ya Imam Ridha AS, Msafara wa wahudumu wa Haram Takatifu ya Imam Ridha AS iliyoko nchini Iran wametembelea Tanzania na kukaribishwa kwa taadhima na wafuasi pamoja na muhibina wa Ahul Bayt AS nchini humo.
Habari ID: 3471100    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/03

IQNA-Mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran umezinduliwa rasmi kama Mji Mkuu wa Utamaduni katika Ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2017.
Habari ID: 3470781    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/04

Tuko katika siku ya mwisho ya mwezi wa Safar, siku ambayo ni kumbukumbu ya kukumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Ali bin Mussa Ridha AS mmoja kati ya watu wa Nyumba tukufu ya Mtume Mtukufu Muhammad SAW.
Habari ID: 3470706    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/30

Tarehe 11 Mfunguo Pili Dhil Qaada ni siku ya maadhimisho ya kuzaliwa Imam Ali bin Musa ar-Ridha AS, mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW.
Habari ID: 3470520    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/14

Wanaharakati watatu katika nyuga za dini, elimu na uchapishaji wanatazamiwa kushiriki katika Tamasha la 14 la Kimataifa la mjukuu wa Mtume SAW, Imam Ridha AS.
Habari ID: 3470513    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/10

Tamasha la Kimataifa la mjukuu wa Mtume SAW, Imam Ridha AS, litafanyika nchini Iran na kushirikisha nchi 77 mwaka huu.
Habari ID: 3470491    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/03

Habari ID: 3470367    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/08

Kongamano la Kimataifa la Kuwaenzi Wanawake Wanaoenza Utamaduni wa Imam Ridha AS limefanyika katika fremu ya Tamasha la 13 la Kimataifa la Imam Ridha AS katika Shirika la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu ICRO mjini Tehran, Jumapili Agosti 23.
Habari ID: 3351168    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/25