iqna

IQNA

Khodaei
Mauaji ya kigaidi
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema tukio la kigaidi la mauaji ya Mlinzi wa Haram Shahidi Kanali Hassan Sayyad Khodaei kwa mara nyingine tena limeweka wazi zaidi sura iliyojaa woga na ukatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475290    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/24