iqna

IQNA

ghaza
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Kenya wametangaza kuunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina hasa baada ya hujuma ya hivi karibuni ya utawala haramu wa Israel
Habari ID: 3473986    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/07

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema wananchi wa Palestina wamekaribia sana kuuvunja mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza uliowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kushirikiana na Misri tokea mwaka 2007.
Habari ID: 3473968    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/01

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa ulinzi wa Iran amesema Wapalestina waliibuka ushindi hivi karibuni katika vita na utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na imani yao kwa Mwenyezi Mungu kwa Allah SWT.
Habari ID: 3473965    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/31

Balozi Salah al Zawawi
TEHRAN (IQNA)-Balozi wa Palestina nchini Iran amesema kuwa, vita vya siku 12 vilivyomalizika hivi karibuni baina ya utawala wa Kizayuni na wanamapambano wa Palestina, vimefungua mlango wa kuangamizwa kikamilifu Israel.
Habari ID: 3473961    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/30

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel Jumapili ataitembelea Misri kwa lengo la kufanya mazungumzo na wakuu wa usalama nchi hiyo kuhusu mapatano yaliyofikishwa ya usitishwaji vita Ghaza.
Habari ID: 3473960    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/29

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Masuala ya Kidini Malaysia Zulkifli Mohammad al Bakri amesema nchi yake inalenga kuanzisha mfuko maalumu wa kifedha maalumu kwa lengo la kuwasaidia Wapalestina.
Habari ID: 3473958    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/29

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema nchi yake itatoa mchango wa dola milioni 500 kwa ajili ya ujenzi mpya wa Ukanda wa Ghaza baada ya vita vya hivi karibuni vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina aktika eneo hilo.
Habari ID: 3473950    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/27

TEHRAN (IQNA)- Ripoti mpya zimebaini kuwa chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia imeongezeka nchini Uingereza kwa asilimia 430 kati ya Mei 8-17 ikilinganishwa na wiki moja kabla na ongezeko hilo linatokana na hujuma ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina hasa katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473946    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/25

TEHRAN (IQNA)- Wapalestina wanaendelea kusherekehea ushindi wa harakati za mapambano ya Kiislamu dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473940    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/24

Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, vita vya "Seif al-Quds" vimeonyesha kuwa, utawala haramu wa Israel ni dhaifu kuliko hata nyumba ya buibui.
Habari ID: 3473936    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/22

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran usiku wa kuamkia leo imetoa taarifa rasmi ya kulipongeza taifa la Palesstina hasa wakazi mashujaa na wenye subira wa Ukanda wa Ghaza kwa kusimama imara mbele ya mashambulio ya kinyama ya Israel.
Habari ID: 3473935    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/22

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe maalumu na kuupongeza muqawama wa Palestina kwa ushindi wake katika vita vya siku 12 kati yake na utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3473934    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/22

TEHRAN (IQNA)- Wapalestina jana usiku walimiminika mitaani kusherehekea usitishwaji vita katika Ukanda wa Ghaza baada ya utawala haramu wa Israel kushindwa kukabiliana na wimbi kubwa la makombora ya harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu.
Habari ID: 3473932    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/21

TEHRAN (IQNA)-Baada ya siku 11 za hujuma na mashambulio ya kijeshi ya utawala vamizi wa Kizayuni wa Israel hatimaye utawala huo umeafiki mpango wa kusitisha vita.
Habari ID: 3473931    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/21

TEHRAN (IQNA)- Maandamano yamefanyika mjini Tehran kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na utawala katili wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473929    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/20

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina (Hamas) imetangaza ushindi katika mapambano ya siku 10 dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambao umevamia Ukanda wa Ghaza na kuongeza kwamba waziri mkuu wa utawala huo Benjamni Netanyahu ameshindwa vibaya katika makabiliano hayo.
Habari ID: 3473928    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/20

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya na asasi za Kiislamu nchini Marekani zimesusa kuhudhuria dhifa ya kila mwaka ya Idul-Fitri inayoandaliwa na Ikulu ya White House kulalamikia uungaji mkono wa serikali ya nchi hiyo kwa jinai za kinyama za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wakiwemo wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473920    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/17

TEHRAN (IQNA)-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa iko tayari kuwapokea na kuwapa matibabu bila malipo Wapalestina ambao wamejeruhiwa katika hujuma za kinyama za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473919    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/17

Hadi sasa Wapalestina karibu 218, wakiwemo watoto 58, wameuawa shahidi katika hujuma mpya ya utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Ghaza huku wengine zaidi ya 1,235 wamejurhiwa.
Habari ID: 3473918    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/17

Rais Iran katika mazungumzo ya simu na mwenzake wa Uturuki
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa Uturuki na kusisitiza kuwa kadhia ya Palestina ni kadhia muhimu zaidi ya pamoja kwa umma wa Kiislamu hivi sasa.
Habari ID: 3473917    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/16