Harakati za Qur'ani Sudan
TEHRAN (IQNA)- Idadi kubwa ya wananchi wameshiriki katika sherehe ya kuwapongeza wanafunzi wanafunzi 150 waliohifadhi Qur'ani katika shule za mji wa Hamshkorib Kaskazini-Mashariki mwa Sudan.
Habari ID: 3476399 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13
Kuhifadhi Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi 393 waliohifadhi Qur’ani Tukufu wamehitimu katika mahafali iliyofanyika katika msikiti mmoja huko Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3475330 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/03
TEHRAN (IQNA)- Huku Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ukikaribia, wanafunzi 700 wamehitimu somo la kuhifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu ambapo wote waliofuzu watatumwa katika misikiti mbali mbali nchini humo.
Habari ID: 3475071 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/24
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Qur’ani Tukufu cha Al Sidra katika Ukanda wa Ghaza kimeandaa mahafali ya kuhitimu kundi la vijana waliohitimu kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474926 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/13
TEHRAN (IQNA) – Hafla imefanyika katika mji wa Khan Yunis katika eneo la Palestina la Ukanda wa Ghaza kwa lengo la kuwaenzi wanafunzi waliohifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474321 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21