iqna

IQNA

Qalibaf
Jinai za Israel
IQNA-Spika wa Bunge la Iran Mohammad Baqer Qalibaf anasema utawala wa Kizyauni wa Israel uliasisiwa kwa mauaji ya kimbari na vita na hivyo kuendelea kuwepo kwake kunategemea kutekeleza jinai hizo za kutisha.
Habari ID: 3478179    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/10

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema: Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ilibadilisha m mpangilio mlingano wa mfumo wa kimataifa.
Habari ID: 3477838    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/04

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema: "kuhudhuria kwa hamasa kubwa wananchi wa Iran katika maandamano ya Siku ya Quds Duniani bila shaka kumeyafanya maandamano ya mwaka huu kuwa moja ya maandamano yenye msisimko na taathira kubwa zaidi katika miaka ya hivi karibuni na kuwapa faraja Mujahidina wanaopambana katika njia ya ukombozi wa Quds."
Habari ID: 3476876    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/16

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel leo hii uko katika hali dhaifu sana katika historia yake na kwamba, nguvu ya harakati ya muqawama imeulazimisha utawala huo kutoa majibu ya woga.
Habari ID: 3476839    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/09

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran ) Mohammad Baqer Qalibaf ataongoza hafla ya uzinduzi wa duru ya mwisho ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran.
Habari ID: 3476562    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/14

Iran kujibu uhasama wa Ulaya
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameashiria hatua ya Bunge la Ulaya iliyo dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na kusema kuwa, iwapo Ulaya inataka 'kufunga mlango wa mantiki' na kuunga mkono ugaidi, basi Jamhuri ya Kiislamu ipo tayari kuchukua hatua nzito ya kujibu mapigo.
Habari ID: 3476443    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21

Uislamu na Ukristo
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amewatumia ujumbe wa kheri Wakristo wa Iran na duniani kwa ujumla wakati huu wanapoadhimisha sherehe zao za Krismasi.
Habari ID: 3476304    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/25

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, tarehe 16 mwezi wa Azar, (Disemba 7) ni nembo ya kupigania ukombozi na mapambano dhidi ya uistikbari.
Habari ID: 3476210    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/07

Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa siri ya ushindi wa nchi hii katika sekta mbalimbali ni kuwepo umoja baina ya Masuni na Mashia na kusisitiza kuwa, Waislamu wa Kisuni na pia wa Kishia waliifanya Iran kuwa imara zaidi na yenye nguvu wakati wa kujihami kutakatifu na katika matukio ya ndani kupitia umoja na dhamira yao thabiti.
Habari ID: 3475904    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/09

Mauaji ya kigaidi
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema tukio la kigaidi la mauaji ya Mlinzi wa Haram Shahidi Kanali Hassan Sayyad Khodaei kwa mara nyingine tena limeweka wazi zaidi sura iliyojaa woga na ukatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475290    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/24

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu,Bunge la Iran amesema kuwa umoja ni suluhisho pekee kwa matatizo ambayo yanaukumba umma wa Kiislamu duniani kote.
Habari ID: 3474663    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/11

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema haki za taifa la Iran zitarejeshwa tu iwapo kutafikiwa mapatano maziri na adilifu ambayo yatapalekea vikwazo kuondolewa.
Habari ID: 3474625    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/01

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuwa vita vya vyombo vya habari vya maadui vimevizidi nguvu na kasi vita vya kiuchumi na kwamba hata maadui wa mapinduzi wananufaika na vita hivyo vya vyombo vya habari katika vita vyao vya kiuchumi dhidi ya mataifa mengine.
Habari ID: 3474416    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/12

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu nchini Iran (Bunge) amesema kuwa moyo wa Umma wa Kiislamu unaendelea kudunda kwa ajili ya Palestina, na Umma na makundi ya mapambano dhidi ya Uzayuni yataendelea kusimama kidete na kutetea malengo ya ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3473915    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/16

TEHRAN (IQNA)- Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuwepo askari wa majeshi ya kigeni na wa nje ya eneo ni tishio na kunavuruga amani ya eneo.
Habari ID: 3473857    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/28

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametuma ujumbe wa salamu za pongezi, kheri na baraka kwa Maspika wa Mabunge ya nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mfungo wa mwezi mtukuufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473812    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/14

Spika ya Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema kutiwa saini mapatano ya ushirkiano wa Iran na China ni onyo muhimu kwa Marekani na kuongeza kuwa, matukio ya kimataifa yanachukua mkondo wa kasi ambao ni kwa hasara ya Marekani.
Habari ID: 3473781    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/04

TEHRAN (IQNA)- Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) leo wamejadidisha kiapo cha utii kwa malengo ya Imam Khomeini, Mwenyezi Mungu Amrehemu, katika Haram ya muasisi huyo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3473610    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/01

TEHRAN (IQNA) – Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amenukulu aya za Qur’ani Tukufu katika Surah An-Naziat katika kufafanua kushindwa Donald Trump katika uchaguzi wa rais Marekani mwaka huu.
Habari ID: 3473342    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/08

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kitendo chochote cha kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW maana yake ni kuwavunjia heshima Mitume wote na vitabu vya mbinguni.
Habari ID: 3473311    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/30