iqna

IQNA

nikah
Hija na Umrah
IQNA - Msikiti Mkuu wa Makkah yaani Masjid al-Haram na Msikiti wa Mtume SAW, yaani Al Masjid An Nabawi huko Madina sasa ina idhini ya kuwa mwenyeji wa kufungisha ndoa au Nikah, kulingana na ripoti.
Habari ID: 3478266    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/28

TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Uingereza kwa mara ya kwanza imetambua sheria za Kiislamu baada ya kutoa hukumu ambayo imeafiki ndoa iliyofanyika kwa mujibu wa sheria za Kiislamu yaani Nikah.
Habari ID: 3471617    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/03