iqna

IQNA

wasail al-shia
Mtume SAW amesema: Watu watakaokuwa karibu zaidi nami na watakaostahiki zaidi Shifaa yangu katika Siku ya Qiyama ni wale ambao ni wakweli, waaminifu, wenye akhlaqi njema na waliokaribu zaidi na watu. Wasail al-Shia, Juz. 8, Uk. 514.
Habari ID: 3471280    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/25