iqna

IQNA

irgc
TEHRAN (IQNA)-Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema maadui wa mfumo mtakatifu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena wamedhihirisha dhati ya shari yao kwa ugaidi na kumuua shahidi mmoja kati ya askari wa IRGC.
Habari ID: 3475283    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/23

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limetangaza kuwa limelenga kwa makombora kituo cha kistratijia cha njama na uovu cha Wazayuni na kusisitizia kuwa: Kurudiwa kwa uovu wa aina yoyote kutakabiliwa na jibu kali, la pande zotei na haribifu.
Habari ID: 3475035    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13

Kamanda Mkuu wa IRGC
TEHRAN (IQNA)- Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa na uwezo wa kujirushia satalaiti katika anga za mbali ni kigezo cha nchi iliyostawi duniani.
Habari ID: 3475023    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/08

Ustawi wa teknolojia Iran
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limerusha kwa mafanikio makubwa satalaiti ya Nour-2 ya kijeshi ya Iran katika anga za mbali.
Habari ID: 3475022    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/08

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu imetangaza kuwa, kutimuliwa utawala wa Marekani katika eneo nyeti la Asia Magharibi ni jibu kwa ujuha na ujinga wa adui katika kumuua Luteni Jenerali Qassem Soleimani.
Habari ID: 3474776    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/07

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya wananchi wa Iraq wamekusanyika katika sehemu ilipotokea jinai ya kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qasem Soleimani karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Baghdad kwa mnasaba wa tarehe 3 Januari, na kumbukumbu ya mwaka wa pili wa tangu kutokea jinai hiyo.
Habari ID: 3474761    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/03

Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema kuwa Serikali, Idara ya Mahakama na Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran zinapasa kutumia vyombo vyote vya kisheria kwa ajili ya kuwafuatilia wahusika wa mauaji ya kigaidi ya Luteni Jenerali Qasem Soleimani.
Habari ID: 3474760    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/03

Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema wale walote waliotekeleza mauaji ya kigaidi dhidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani hatimaye wataadhibiwa.
Habari ID: 3474748    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/31

#for_martyrs' sake
TEHRAN (IQNA)- Kampeni ya Kimataifa ya kusoma Qur'ani Tukufu kwa munasaba wa mwaka wa pili tokea auawe shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani imezinduliwa.
Habari ID: 3474735    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/28

Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC
TEHRAN (IQNA)- Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa, shahid Hasan Irlu (kwenye picha), balozi wa Iran nchini Yemen ambaye amefariki dunia kwa ugonjwa wa corona, alikuwa mtumishi wa wananchi madhulumu na wanamuqawama wa Yemen.
Habari ID: 3474701    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/21

Kamanda wa Kikosi cha QUDS cha IRGC
TEHRAN (IQNA) - Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema wakati umefika kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuanza kutafakari kuondoka katika ardhi za Palestina unaozikalia kwa mabavu haraka iwezekanavyo.
Habari ID: 3473962    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/30

TEHRAN (IQNA)0 Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga shule ya msingi ya Sayed Al-Shuhada mjini Kabul na kuitaja jinai hiyo kuwa ni njama ya Wamarekani ya kutaka kuhuisha ugaidi wa makundi ya kitakfiri na kuvuruga tena amani nchini Afghanistan.
Habari ID: 3473895    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/10

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa mkono wa pole na kueleza juu ya kusikitishwa kwake na kifo cha Brigedia Jenerali Mohammad Hosseinzadeh Hijazi, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambaye ameaga dunia usiku wa kuamkia leo akiwa na umri wa miaka 65, kutokana na mshtuko wa moyo.
Habari ID: 3473829    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/19

Brigedia Jenerali Qaani
TEHRAN (IQNA) - Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) nchini Iran amesema kuwa Shahidi Qassem Soleimani ni shujaa wa taifa la Iran, Umma wa Kiislamu na vilevile shujaa wa kuyashinda madola ya kibeberu na kuongeza kuwa, njia ya Kikosi cha Quds na wanamuqawama haiwezi kubadilishwa kwa ushetani wa Marekani.
Habari ID: 3473513    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/01

TEHRAN (IQNA)- Watu wa Iraq wameandamana katika mji mkuu, Baghdad, kulaan kitendo cha kigaidi cha Marekani cha kuwaua makamanda wakuu wa vita dhidi ya ugaidi, Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na mwanamapmabano mwenza wa Iraq Abu Mahdi al Muhandis.
Habari ID: 3473496    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/27

Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Shahidi Qassem Soleimani alikuwa nguvu kubwa mbele ya mipango kiistikbari ya Marekani na ndio maana ameuliwa kigaidi na adui.
Habari ID: 3473480    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/22

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wauaji wa shahidi Luteni Jenerali Qassim Soleimani lazima walipiziwe kisasi na kisasi hiki hakina shaka na kitatekelezwa wakati wowote.
Habari ID: 3473463    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/16

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema hakuna chembe ya shaka kwamba Iran italipiza kisasi cha kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC.
Habari ID: 3473185    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/19

Kwa mara ya kwanza duniani
TEHRAN (IQNA) - Kwa mara ya kwanza duniani, Jamhuri ya Kislamu ya Iran imevumbua kifaa chenye uwezo wa kugundua mwili na sehemu kilipo kirusi cha corona katika umbali wa mita 100 tena katika kipindi cha sekunde chache tu. Kifaa hicho kimepewa jina la "Musta'an 110."
Habari ID: 3472670    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/16

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu asema
TEHRAN (IQNA) - Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amemtaja Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC kama shakhsia aliyehuisha 'harakati za jihadi na kuuawa shahidi' katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3472471    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/14