iqna

IQNA

mapinduzi ya kiislamu
Spika wa Bunge la Iran katika Kongamano la Kimataifa la Wanaharakati wa Umahdi
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Bunge la Iran amesema chimbuko la Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni fikra za Imam Mahdi, Mwenyezi Mungu Aharikishe Kudhihiri Kwake, na Ashura.
Habari ID: 3475346    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07

Fikra za Imam Khomeini
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Mudhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshiriki katika Hauli ya mwaka wa 33 tokea alipoaga dunia muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema, "Imam Khomeini MA alikuwa roho ya Jamhuri ya Kiislamu'
Habari ID: 3475334    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04

Fikra za Imam Khoemini
TEHRAN (IQNA)- Rais Ibrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ijumaa usiku alihutubu katika hafla ya mkesha wa mwaka wa 33 tokea alipoaga dunia Imam Khomeini (MA) muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliyofanyika katika Haram Takatifu ya mtukufu huyo na kusema: "Mapambano dhidi ya uistikbari na udhalimu ni kati ya maudhui asili za Fikra za Imam Khomeini MA."
Habari ID: 3475333    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ni utawala wa kimafia na kwamba, Ukraine imekuwa mhanga wa siasa za utawala huo.
Habari ID: 3474989    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/01

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa nchi mbalimbali walituma ujumbe wa kuipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474920    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/12

Rais Ebrahim Raisi katika Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado imeshikamana na nara yake ya "Si Mashariki, si Magharibi" ya tangu mwaka 1979.
Habari ID: 3474918    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/11

TEHRAN (IQNA)-Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leoi wamejitokeza kwa wingi mitaani katika maadhimisho ya miaka 43 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.
Habari ID: 3474915    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/11

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao na mabalozi wa nchi za nje hapa mjini Tehran kwa mnasaba wa kukumbuka ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Taifa la Iran limesimama imara katika misingi ya itikadi za mapinduzi yake."
Habari ID: 3474911    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/10

Msemaji wa Harakati ya Nujabaa
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya al-Nujabaa ya Iraq alisisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa nchi pekee iliyosimama kidete kukabiliana na Marekani baada ya Vita vya Pili vya Dunia.
Habari ID: 3474908    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/08

Waziri wa zamani wa mambo ya nje Iran asema
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Iran amesema hayati Imam Khomeini- Mwenyezi Mungu Amrehemu, muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alihuisha Uislamu na kuwapa Waislamu utambulisho
Habari ID: 3474905    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/08

Shirika la Habari za Qur'ani Tukufu la Kimataifa (IQNA) litafanya kongamano la kimataifa kupitia intaneti kwa mnasaba wa kuadhimisha mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474898    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/06

Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema Mapinduzi ya Kiisalmu ya Iran ni tafauti kabisa na mapinduzi mengine dunaini na kuongeza kuwa: "Mbinu aliyotumia Imam Khomeini (MA) ilikuwa ni kuwategemea wananchi."
Habari ID: 3474883    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02

TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kumtegemea Mwenyezi Mungu na kuwahusisha wananchi ni misingi miwili ambayo ilitumiwa na Imam Khomeini MA na hivyo kupelekea taifa la Iran liweze kufanikisha Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474880    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02

TEHRAN (IQNA) – Sherehe za mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu mwaka 1979 zimeanza rasmi kote Iran.
Habari ID: 3474878    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/01

Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapunduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mapema leo asubuhi amefanya ziara katika Haram toharifu ya Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu na maziara ya Mashahidi katika Makaburi ya Behesht Zahra SA kusini mwa Tehran.
Habari ID: 3474873    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/31

TEHRAN (IQNA)- Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kulinda usalama na kuvipa msaada vyombo vya baharini na pia kuonyesha uwezo wa Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu sambamba na kufikisha ujumbe wa amani na urafiki, ndio malengo ya Iran ya kuwepo kijeshi kwenye eneo la maji ya kimataifa.
Habari ID: 3474820    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/17

Kiongozi Muadhamu kwa mnasaba wa kuanza Wiki ya Basiji
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe wa maandishi kwa mnasaba wa Wiki ya Jeshi la Kujitolea la Basiji na kusema kuwa: Mabasiji mnapaswa kuwa watatuzi wa masuala yote ya nchi na ya taifa kwa kumtegemea na kutawakali kwa Mwenyezi Mungu, Mjuzi na Muweza wa kila siku.
Habari ID: 3474596    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/25

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Waislamu hawapaswi kuungana na kusimama pamoja wakati wa matukio fulani maalumu pekee, bali wanapaswa kushirikiana nyakati zote na kustawi pamoja, kwani hilo ni jambo la dharura.
Habari ID: 3474468    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuwa vita vya vyombo vya habari vya maadui vimevizidi nguvu na kasi vita vya kiuchumi na kwamba hata maadui wa mapinduzi wananufaika na vita hivyo vya vyombo vya habari katika vita vyao vya kiuchumi dhidi ya mataifa mengine.
Habari ID: 3474416    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/12

Sheikh Issa Qassim
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema moja kati ya mafanikio makubwa zaidi ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni kuundwa mrengo wa muqawama au harakati za mapambano ya Kiislamu na kupata ushindi mrengo huo katika mapambando dhidi ya mfumo wa kibeberu.
Habari ID: 3473978    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/04