iqna

IQNA

kitakfiri
TEHRAN (IQNA)-Magaidi wa wakufurishaji wamehujumu kwa mabomu Kituo cha Qur'ani katika mkoa Idlib kasskazini magharibi mwa Syria na kuua watu 8 na kuwajeruhi wengine 16.
Habari ID: 3471053    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/06

Russia na Iran zinashirikiana katika kuandaa kongamano la Umoja wa Kiislamu mjini Moscow.
Habari ID: 3470619    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/18

Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria ameahidi kuwa magaidi wa kundi la Kitakfiri la Boko Haram wataangamizwa katika kipindi cha mwezi moja ujao.
Habari ID: 3015828    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/20

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar mjini Cairo Misri amelaani vikali jinai zinazofanywa na makundi ya kitakfiri duniani hasa kundi la Daesh (ISIL).
Habari ID: 2615011    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/04

Magaidi wa Kiwahabbi wa kundi la kitakfiri la Daesh wamelibomoa na kubakia kifusi kaburi la Nabii Yunus AS lililoko katika mji wa Mosul, nchini Iraq.
Habari ID: 1433174    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/25